Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,438
Engine ndo uhai😆😆😂😂😂😂
Mshangazi wa haja....Picha tunayo na tunatamba nayo.😂😂😂
Ooh i didn't know i just do exercise with locals football exercise... I practice mostly at osterbay soccer pitch when in DsmMkuu hapo ni viwanja vya kinyerezi near kinyerez park.
Msalimie Yule mchaga mwalimu WA mazoezi mwenye kaspika kake
Mganga mstàaafu
Naziona goli 5 nikikufunga mkuu 😂 😁Ntakula chuma mbili
Mfungaji
Ateba
Deborah
Heshima Kwa shangazi....Mshangazi wa haja....
Inshallah ikawe kheri 😎😎 dube kesho ana maliza kazi
Kabisa, sisi tunazeeka miili tu....ila mambo mengine ni 💯 💯😆😆Heshima Kwa shangazi....
Wanasema ng'ombe hazeeki maini
Nasubir mahela hayo
Hivi wewe hunaga shati lingine ni hilo hilo moja 😹😹😹
Babu hapo hapakufai wewe nenda Florida kule kuna walugulu band, kuzuri kwa wazee 😹😹
Baba tamu mzima? 😹Connection ina wenyewe cc,![]()
Shati hili litaongea 😹😹
Jamani tena 😹😹😹
Na gushati gwake 😹😹Mtt wa kishua nakuona😄
Wifi mumeo anarudi halafu alivyo msumbufu anataka tumuandalie chakula cha kibongo, km vipi uje umpikie mwenyewe mi kuchoshana sitaki 😹😹😹Nasubir mahela hayo
Ndio hapa wanaangaliaga na mpira watu huwa wengi au nimekoseaSehemu mbili tofauti. Samaki ni Nyumbani Park, hapo ni Star Park. Ukitoka round about ya Msamvu kuelekea Dom kona ya kwanza kushoto ndio ipo hio star Park. Pana fujo sana watoto wengi.