Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,565
Sawa katibu muhtasi🤣Tulia Tayana kuna dili nalisikilizia dogo 🤣🤣
Sawa katibu muhtasi🤣Tulia Tayana kuna dili nalisikilizia dogo 🤣🤣
Aisee Kila jpil lzm nijichange nilale Pizza 😄Karibu sana mama mchungaji, mambo ya pizza😂
Ndio tunamalizia ubuyu hapa tuanze mambo ya maana.Hivi umefanya ile issue nilikushauri? Au bado unakula maubuyu😁😁
Wanaanzia wapi wakati nanuka harufu ya Kiko muda wote😜Babu uongo 🤣🤣
Wakati mibibi inakugombea
Jumapili moja fanya kunipa mwaliko aisee😂Aisee Kila jpil lzm nijichange nilale Pizza 😄
Who is shangazi? Nipe kwanza dondooNdio tunamalizia ubuyu hapa tuanze mambo ya maana.
Shangazi alikuwa anabalance mzani kwanza hapa
Shangazi ni namba moja wa wakati wote Kwa shepu🔥
Nini hiyo? Kuku?View attachment 3107560
Wameungua lol 😂 😂 😁 😁
Hahaha.........japo Wazee tuna msemo kwamba usimwage mchele palipo na Kuku wengiKweli we uko open ila wazee wenzio wamefunga inabidi sasa vya wajukuu na babu tuyazungumzie hapa hapa kwenye kadamnasi
Msinisumbue naangalia x 😹😹
Sato Hawa from mwanza brotherNini hiyo? Kuku?
Nakuja babu usiondoke nisubiri, hivi hadi ERoni kafunga pm, leo mmenipa kaziiiHahaha.........japo Wazee tuna msemo kwamba usimwage mchele palipo na Kuku wengi
Juzi niliposikia utakuwa mgeni wangu, si nikaandaa jogoo kwaajili yako Mjukuu, nimeishia kumnywa supu tu 😜
😃View attachment 3107560
Wameungua lol 😂 😂 😁 😁
Eti anajidai hamjui Mkemia wetuMsinisumbue naangalia x 😹😹
😂😂😂 chino tuache mwenzio sina uvumilivu ntatoa siriHuyo hana kitu chochote kuhusu Mimi.
Na Mimi ndo mtu wa kwanza kumsanua kina sumbai wasiendelee pigwa
Kipindi icho sikujui mtoto Mimi sio wa kuingizwa chaka si umeona nakuganda kama ruba.
Hujambo kiuno nyiguEti anajidai hamjui Mkemia wetu
😂😂😂 Basi nimeachaFuta kauli ya uking'anga bana.
Nipe access tu au unasemaje Bantu Lady
😂😂