Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,943
Mwambie shangazi aniombee niolewe niwe busy na mume apumue 😂😂😂Ngoja tujiandae na kipindi Cha komboa familia Cha buldozer. Tuzidi kujizingiti na dada angu.
Mwambie shangazi aniombee niolewe niwe busy na mume apumue 😂😂😂Ngoja tujiandae na kipindi Cha komboa familia Cha buldozer. Tuzidi kujizingiti na dada angu.
Utawani mahi 😂😂Jmn nimecheka Leo🤣🤣🤣utawani🙌🙌
Ngoja aje sijui ana utetezi gani, yani itabidi nikague pm za wakaka tunaokutana kutana humu,Huyo Mzee mwenzangu ikifika usiku kama hivi anafunga kufuli, pamoja na kwamba tulipita wote jeshini Mwaka 47 amekuwa mwoga kidogo Kwa Wageni 😜
Haya utanikuta nakusubiri getini 🤗
Hey Anna….salama kabisa!Ngabu
How are you?
Tumemiss selfie zako
Mmeanza kuturusha roho na miamala 😂😂Kama upo around nipe namba ya Wakala Mjukuu 🤗
Umezima ndoto zake kirahisi mno😁Duh kitambo ngoja tumuite
Omulasil unaitwa
Ila shem kwa wanaume hapa selfika namba moja yako uko very smart,
Mh handsome 🤩
Mnatakiwa muwe kama zamani mtoto mzuri.Mwambie shangazi aniombee niolewe niwe busy na mume apumue 😂😂😂
Hii picha irudie kuna kitu nataka kuona 😂😂
Alishamaliza zoezi la kufyeka mapori?Anazuga 😂😂
Kitu gani? Ndevu?Hii picha irudie kuna kitu nataka kuona 😂😂
Anilipe mafao yangu kwanza 😂😂😂Mnatakiwa muwe kama zamani mtoto mzuri.
Mfukie makaburi yenu ya nyuma.
Maisha yenyewe haya mafupi sana. Tupendane.
Halafu wanaokumbukwa ndo wanapataga nyingi ujue kuliko wale wanaopewaMmeanza kuturusha roho na miamala 😂😂
Tayana-wog babu akikutumia na mimi unikumbuke
🤣🤣🤣 Nkamu em niache kwanzaAlishamaliza zoezi la kufyeka mapori?
😂😂😂😂😂😂Anilipe mafao yangu kwanza 😂😂😂
Tayari ushajua haya weka sasa 😂😂Kitu gani? Ndevu?
Unapenda ndevu wewe eh…😀
Monk kasema mzigo tayari katuma fanya unipe mahi dhuluma sio nzuri 😹😹😹Halafu wanaokumbukwa ndo wanapataga nyingi ujue kuliko wale wanaopewa