Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,946
Ila shangazi jamani mpk nimechukiwa na waasi kwaajiri yake… 😂😂Tumempambania sana Shangazi huyo
Sisi ndio majeshi yake ya faraja kipindi amebwagwa
Na mimi hii tabia ya kununua kesi ss hivi niache, nshakula ban nyingi kumkingia kifua shangazi.. nilimsaidia mpk kumfukuzia babu miga na mabakuli 😹😹😹
Ila kipindi kile nilikuwa mcharuko km nimetiwa petrol shangazi ilitakiwa anipe NSSF zangu 🤣🤣🤣