Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,565
Safiiii
Safiiii
Hii picha ya mwisho ni juice ya tunda gani?
Tikiti lililokomaa sana wanaita lenye unga ndilo juice yake huwa nzito,,, ni tamu sanaNdio juis yangu pendwa mbona hiyo inaonekana nzito sana nimependa wanaweka nn mm Huwa sitii maji lakn haiw nzito hivo
Hongera uko vizuriJuice napenda sana, nikiwa na muda najitengenezea nikiwa kwenye kageto kangu.
Hii ilikua maziwa, parachichi na ndizi.
View attachment 3106187
Shukrani, ndio tufungue duka la mahanjumati sasaHongera uko vizuri
Karibu sana 😎😎Santo sana Vincenzo Jr
Nimefanikiwa
Hii ni rahisi kusearch vitu /watu etcKaribu sana![]()
Na inakagua hadi wale waliofunga nyuzi na profile zao 😁😂😂😁😁Hii ni rahisi kusearch vitu /watu etc
Nilitaka kuangalia followers Wangu lol hawajafika hata watano!
Ndio naikibali sana kwenye hizo mambo yani ukitaka Tafuta kitu inakua rahisi tofauti na WebNa inakagua hadi wale waliofunga nyuzi na profile zao 😁😂😂😁😁
Kabisa ipo vizuri sana 😎Nd
Ndio naikibali sana kwenye hizo mambo yani ukitaka Tafuta kitu inakua rahisi tofauti na Web
Naona mambo ya breakfast on bed 😂😂😂😂.View attachment 3105854Sawa kiongozi, mie kugonga kongoro leo haimaanishi hivyo ulivyovitaja sivipati. Ni Kwa vile nipo huru na nakula nnachokitaka, nikitaka muhogo na supu ya dagaa, napiga na sioni shida kabisa kusema nimegonga muhogo.
View attachment 3105849
View attachment 3105850
View attachment 3105851
View attachment 3105852
View attachment 3105853
View attachment 3105855
Mashallah 😍Lamomy kumbe Hutu tubia huwaga tutamu 😋
😂😂Namsalimu Countrywide kwa jina la Bwana wa majeshi
Nilikua Sina bando aisee😂😂😂😂 hatajwi huyo ss hivi ataingia
Bado naendelea kuhesabu magari..😂😂
Nipo mama wa cake. Vpi lakini business inaenda powa?
Hadi wewe shemeji huwa unaishiwa bando?Nilikua Sina bando aisee😂