Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,689
Kumbe ukiiacha muda mrefu haifutiki mwalimu wangu ๐๐๐๐๐Naam cc sumbai nimekuwakilisha vyema mkuu
Mzee wa hall V ataikuta kwenye comment yako ๐ฅ
Kumbe ukiiacha muda mrefu haifutiki mwalimu wangu ๐๐๐๐๐Naam cc sumbai nimekuwakilisha vyema mkuu
Mi najikubali mpk shetani ananiogopa ๐๐Kujikubali ni kipengele kizito,
Kuna mtu niliona ameandika sijui kuattach nini nini sijuiWeka halafu rudi kwenye post yako edit then delete ila makesure nimeiona kwanza ๐๐
๐๐๐ hatajwi huyo ss hivi ataingiaNamsalimu Countrywide kwa jina la Bwana wa majeshi
My Wii wee mzuri alafu unarang nzuri sijui unaogea maziwa๐Mi najikubali mpk shetani ananiogopa ๐๐
Niko flat halafu nimekauka km kuni ya kiangazi ila na ole wake nipite mtu anicheke naokota mjiwe nampopoa nao ๐น๐น
Ahsante mrembo wetu Aaliyyah kama ulivyo wewe, lips uwiii JF kuna vifaa haswa na mko kimya ๐ฅฐNimeona Asante sana Kwa kutubless dadaake
U r So beautiful na roho Yako nzuri sana
Wengine hadi za Songesha zinagomaWii zipo mpk za โnipige tafuโ ๐๐
Sidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwanaMi najikubali mpk shetani ananiogopa ๐๐
Niko flat halafu nimekauka km kuni ya kiangazi ila na ole wake nipite mtu anicheke naokota mjiwe nampopoa nao ๐น๐น
Asije tu๐๐๐ hatajwi huyo ss hivi ataingia
Haya weka hata niko quote ukifuta haionekani tena.!! Ww weka halafu ntakwambia jinsi ya kufuta ๐๐๐Kuna mtu niliona ameandika sijui kuattach nini nini sijui
halafu hamna kuniquote,
Kabisa umeongea sawa kabisa. Kila mtu ana uzuri wake, kila mtu yuko unique kwa vitu tofauti, katika mwili hata uso.Sidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwana
We mavi kweli nani kakwambia uniite huku ujue nilishagaugaya huu uziHaya weka hata niko quote ukifuta haionekani tena.!! Ww weka halafu ntakwambia jinsi ya kufuta ๐๐๐
Weka tumrushe roho the monk ๐น
Uzuri niutoe wapi ๐๐๐My Wii wee mzuri alafu unarang nzuri sijui unaogea maziwa๐
unatafuta kisingizio usiwekeKuna mtu niliona ameandika sijui kuattach nini nini sijui
halafu hamna kuniquote,
IPO wapi boss
Zipo za lipa deni ili ukopeshwe tena ๐๐๐Wengine hadi za Songesha zinagoma
Haha inafutika banaKumbe ukiiacha muda mrefu haifutiki mwalimu wangu ๐๐๐๐๐
Mzee wa hall V ataikuta kwenye comment yako ๐ฅ
Yani km mimi ndo ningekuwa mwanaume ningeitwa fisi nikienda town kuna vidada vimodo naviangalia vilivyo vizuri, nikikutana na tinginya tena napo namsifia kimoyoni nikiona aliyevaa akanoga nae namsifia sijulikani napenda niniKabisa umeongea sawa kabisa. Kila mtu ana uzuri wake, kila mtu yuko unique kwa vitu tofauti, katika mwili hata uso.
Mahi hayo tuache ๐ฅSidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwana
Kwa Kapachino kwenye comment yake aliyoniquote. Utaipata, haijafutika ๐ฅบIPO wapi boss