Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
😘😘😘Ni kweli
😘😘😘Ni kweli
Mpira unakuwaga na maajabu sana ngoja tuone.Ok kesho West Ham anakuja kwetu Anfield tutampiga kama ngoma
Exactly 💯Mpira unakuwaga na maajabu sana ngoja tuone.
Tanga materialHuyu dada ni msupu🔥🔥
Picha zake classic za kishua
Halafu mzuri hatari rangi ya mtume🔥
Tangu tunaanza huu Uzi miaka mitano nyuma
Anazingua huyo haujui utamu wa kongoro
Aisee... Nipo Kwa walevi hapa kichwa kimejaa na danrod.Shikamoo rafiki
Naunga mkono hoja 🤣 😁Anajua Kwa vile tunagonga kongoro ndio hatujui kula kuku, mbuzi na mengineyo?
Sijui mkuu😊
Hello,
Hiyo avatar yako, huyo jamaaa alifanya niangalie movie zote za pirate CarribbeanSijui mkuu😊
Mwamba anajua sanaHiyo avatar yako, huyo jamaaa alifanya niangalie movie zote za pirate Carribbean
Kuna Mwamba na meli yake inaitwa flying Dutch Kama sijakosea
Mimi nakunywa supu ya kuku, mbuzi, samaki, ng'ombe mwisho hizi nyama nyengine sijui kuongoro, nyoka mimi sili
Kaputeni jaki sparoMwamba anajua sana
Mwamba anajua, alizaliwa kuwa captain jack sparrow.Mwamba anajua sana
John deep🤗Kaputeni jaki sparo
Huwa sichoki kukiangalia hicho kigongo😁Mwamba anajua, alizaliwa kuwa captain jack sparrow.
Kuna mbabe anaitwa Davie John captain na meli yake anatembeza show balaaa....
Mtoto mzuri Elizabeth Swann