Niliweka ukawa umesinzia, Saint Anne akatoka kidogo, huwezi amini nimeweka two times. Utaniambia muda utakaokuwa free nitaweka tena ila mida ya wanga 😅😅😅😅Bantu Lady irudiwe sijaona
Siku quote kipenz
Nitakuwepo Ile mida yetu na mm nitapita naked hapa 😂Niliweka ukawa umesinzia, Saint Anne akatoka kidogo, huwezi amini nimeweka two times. Utaniambia muda utakaokuwa free nitaweka tena ila mida ya wanga 😅😅😅😅
Mkuu usiwe unalitaja jina la mungu bure kwenye captions kama hizi unakoseaMungu akiwa upande wako nani aliye juu yako??????????
Have a blessed weekdays wapendwa!
😍😍😍Nimeona Simba dumeWeee 🤣.
Moja, ushawahi kuona simba dume asiye na Ndevu?
Mbili, zile za Osama hazikuwa na matunzo.
Yaani kabisa hizi zangu unazilinganisha na za Osama? Hebu cheki hiyo line-up….
View attachment 3100014
Sidhani kabisa kama Osama alikuwa na hizi nyenzo za matunzo.
View attachment 3100015
View attachment 3100016
Tatu, sidhani kama Osama aliwahi kupata hata compliment moja kuhusu ndevu zake 🤣.
Yours truly hapa napata compliments kila kona, ikiwemo hapa JF kupitia PM 😉.
Put some respect on my beard 😀.
Jamani 😂😂😂Mh! Sawa mjukuu. Si unaona vile kidevu kimechafuka na mvi, kuna uheshimiwa hapo?
View attachment 3100051
Uwe na asubuhi njema, yenye baraka na mafanikio.
Acha nikapate upepo wa ufukweni asubuhi asubuhi mwili uchangamke.
Unateseka ukiwa wapi? 😹Wewe huyo naye unamjibu ili iweje hakustahili kujibiwa ungekausha
Nawe mdau wa safari? 😂😂Friday 🙂
😍😍😍 Nkamu bday yako lini ule cake kwa niaba yangu?!Mje mniungishe keki
Hivi wanyaki kwann wanapenda hii biz? 😹Njoo niungishe nipunguze kuhesabu magari😂😂😂😂😂
Wee ngadu selfika nione km umekua mkubwa 😹St. Anne na guu lake nilipendalo.
Hebu tuone km kweli 😜Mimi pia napenda ,now nimetunza hata mdomo hauonekani😅😅😅
Au basi 😹sina
pako peupe kma Kota la mzungu
Njoo uone huku kijijini kwetu😁😁😁Hebu tuone km kweli 😜
Njoo uone huku kijijini kwetu😁😁😁Hebu tuone km kweli 😜