Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,854
Nionyeshe sample nkamu ๐คฃ๐คฃ๐คฃKivumbi ๐๐๐๐๐๐๐
Aisee
Nionyeshe sample nkamu ๐คฃ๐คฃ๐คฃKivumbi ๐๐๐๐๐๐๐
Aisee
๐คฃ๐คฃ๐คฃ we tuliaHaya nimetuliaa tuliiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majotrooo ๐คฃ๐คฃ๐คฃHaikinaishi wala haichoshi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Nikiweka picha mashoga mabonge nyanya yote yatakuja kujinunisha km wametiwa jiti la nonino ๐น๐น๐น
Ila tulia ntakushtua usikae mbalii
Eti kibao Cha kashata๐๐Shangingi kajipata halafu alianza km utani, alikuwa na kigoli chake ghafla kachukua chumba kikubwa, mara anasema nafatilia visa, ohhh kashusha mzigo wa gauni.
Hatujatulia kanunua nyumba mbagala, mara kaanza ujenzi mwanagati.
Nilivyo mpana kila nikimuhoji ananizuga, mwisho akanitolea uvivu โwe mkinga usijifanye hujui km tunaforce mamboโ mie enheee! Akaniambia habari ndio hiyo mjini hatuji na majembe tutalima lami?? ๐น๐น๐น
Ndio kuniambia kashapigwa tunguli za utosi za kutosha na chale mpk mwili umekuwa km kibao cha kashata, hayo makombe kashaoga na kunywa mpk umeingia kwenye mfumo wa damu.!
Yeye kumpata yule bwana wala sio bahati mbaya โKAPAMBANAโ mji mzito ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Haya nawe makubwa yapi yalitaka kukuta udugu wangu? Mbona kuniweka roho juu??
Sii michundoo ya JF, Inanichokoza enyewee, nikii saula inakimbilia kujiliza kwa modes, aaaaahNikataka nishangae
Coca ni wa kupotea hivi bila sababu?
๐๐๐๐๐Wazungu wamekubwaga umekimbilia kuwa barmaid ๐น๐น
Eti Paris wakati hata msumbiji hujawahi kufika!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majotrooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nshatuliaaa uduguu akee, mie tenaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we tulia
Ngoja tutafute sample kwanzaNionyeshe sample nkamu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Kuna mijitu muda wote ni kuliaSii michundoo ya JF, Inanichokoza enyewee, nikii saula inakimbilia kujiliza kwa modes, aaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kale kapunga kanaota Paris wakati hata hela za kimataifa hakazijui๐๐๐
Wamejaaa teleee JF, haiwezagi battle, ikionaa inaelemewa inakimbilia kwa modes kujiliza liza.Kuna mijitu muda wote ni kulia
Halafu unakuta ni ya kiume
Akiyanani nikiona kitu la kiume linapapatika na kulia Kwa mod naliona kama limama zembe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kale kapunga kanaota Paris wakati hata hela za kimataifa hakazijui
Aanzie kwanza kariakoo, Mozambique mbali huko
Mie siku hizi nimejiupgrade[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaah ๐คฃ๐คฃNgoja tutafute sample kwanza
Na delivery tutamfanyia mke mwenza
Ss hivi unapiga nayo hip hop ngumu mpk waache shobo roboKuna mijitu muda wote ni kulia
Halafu unakuta ni ya kiume
Akiyanani nikiona kitu la kiume linapapatika na kulia Kwa mod naliona kama limama zembe
Kapunga sese kamekondoeana km mbwa ya jela ๐คฃ๐คฃKale kapunga kanaota Paris wakati hata hela za kimataifa hakazijui
Aanzie kwanza kariakoo, Mozambique mbali huko