Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Whattttthhhh?!!!!!
Warereeeeeee.!! Unaambiwa ukitaka kujua umuhimu wa matraco kalia kichwa uone.!!

Na toka lini sikio likazidi kichwa??
Kwahiyo baba Jane bye bye 👋🤣🤣🤣

Jamani dj Nyamwi em nipigie kibao cha mapacha watatu “KUACHWA” 😂😂😂
Ndiomana hana raha machikiniii katoto lee

Sasa Shem anataka kurudi nyumba kubwa au? 😜
Mana uduguu ukute ushapindua meza kibabe
😂😂😂😂😂😂 uduguuu usinichekeshe mie hapaaa,
Kuhusu kupinduaa, uwezo ninao, ilaa sijaamua bhanaa
😂😂😂😂😂😂
 
Uduguuu nisogezeee huo ubuyuuuu hata kulee bhanaaa.
😂😂😂😂😂😂😂 JF ni kupokeazanaa tyuuh
Shoga liubuyu la moto nikilitoa hapa namalizia husiano na bwana yule anatamani kweli niuseme ili aachie ngazi, mana kamchoka bidada anamtafutia visa ss hivi.!!🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
😂😂😂😂😂😂 uduguuu usinichekeshe mie hapaaa,
Kuhusu kupinduaa, uwezo ninao, ilaa sijaamua bhanaa
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Nyie miee chitakiiiii
Em pindua tuone!!

Mji mzito huu.!! Mwachiluwi mbona umecheka comment ya coca?? Kwema? 😂😂😂
 
Shoga liubuyu la moto nikilitoa hapa namalizia husiano na bwana yule anatamani kweli niuseme ili aachie ngazi, mana kamchoka bidada anamtafutia visa ss hivi.!!🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Sasa si uumwagee hapa, kukataa umeme.
Wee Tanesco unakuaje muoga na kazi uliyopewaaa? Au mshahara hakunaa?
😂😂😂😂😂😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Nyie miee chitakiiiii
Em pindua tuone!!

Mji mzito huu.!! Mwachiluwi mbona umecheka comment ya coca?? Kwema? 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 nyieee mnanipaaa rahaa hatareeeeee!!
Selfikaaa haitakiwiiii kupoaaa, ni mwendo wa heka heka mwaaaa mwiiiii
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂 nyieee mnanipaaa rahaa hatareeeeee!!
Selfikaaa haitakiwiiii kupoaaa, ni mwendo wa heka heka mwaaaa mwiiiii
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 haipoi wala haiboi
 
Shouzzz mie niko poaaa!!
Nilkua kifungoni, majuzi ndo nimetoka lokapu.

Hapaa mabegii nimetua na ndo nshafikaa hivyoo.
Nimejaa teleee!! Mwendo wa heka heka, mwa mwiii
Hakuna kupoaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikataka nishangae
Coca ni wa kupotea hivi bila sababu?
 
Back
Top Bottom