Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,863
Dah!! Acha nilie kwa niaba yake na wengine wote walioachwa halafu bank account haisomi, ukiuliza salio unakutana na single digit, 10.00
walikuwa wanasurvive kwa nguvu y’a masponsa.!! 😭😭😭😭😹😹😹
Ila mi ntapigwa mjue 🤣🤣🤣