Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,945
🤣🤣🤣🤣 Ehhh mabwakuHalafu mmefananisha majina 😂😂 #mama wa Kweli 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Ehhh mabwakuHalafu mmefananisha majina 😂😂 #mama wa Kweli 🤣🤣
We nae huna D mbili😂😂Yupi huyo? 😂😂😂
Em kanitag kwanza nijionee hekaheka miye
Stress za kukunjwa 7 na kuachwaaa mchezoo?Dada yule amekuja kwa Kasi sana..kwa siku anaanzisha nyuzi 3
![]()





.







Wee yulee wa kujifanya kumchukua bwana angu umesahau?Lipi hilo?
Umaarufu hautafutwi kwa nguvu unakuja automatically pimbi huyo hajui?!!
Sema JF raha sana, tukiamka na mood zetu za vingunguti wajishikilie watapata pureshaaa![]()







. Aaaah wee.Nilishakumanya kitambo mimi ndo queen of codes 😂😂😂We nae huna D mbili😂😂
Hiyo hashtag ibadili iwe kingerejaa🤣🤣
🤣🤣🤣 mabwaku bado mke mwenzio kakukalia kooni??Wee yulee wa kujifanya kumchukua bwana angu umesahau?
. Aaaah wee.
Ewaaah 😂😂Nilishakumanya kitambo mimi ndo queen of codes 😂😂😂
yllaer mima
😂😂😂 kwani naye kaachika??Stress za kukunjwa 7 na kuachwaaa mchezoo?.
Mabasha wa JF wawe wanawahurumia hawa watoto wa wanaume wenzaoo
![]()
Mamaa wa ukwee 🤣🤣🤣Ewaaah 😂😂
Anatakaaa nayeyee apewee promooo, km mie nilivyokua natambaa naee winjaaa winjaaaa.mabwaku bado mke mwenzio kakukalia kooni??
Kwani bwana si umemuachia au naye kaachwa?!!
Shemeji awapangie zamu msigombane bi mkubwa na bi mdogo
Halafu wote wadogo zangu sasa.!!







kwani naye kaachika??
Penzi lilivyonoga walikimbia wote jukwaani na bwana shemeji
Ko limekufa wamerudisha majeshi??
Em waje waselfike kwanza





yaan nachekaa mbavu zinaumaa, mieeAkuu mi namzoom Wala hatujatibuana🤣Mamaa wa ukwee 🤣🤣🤣
Kumbe ndio yule?? Mlikwaana au ndo mambo ya matipo??
🤣🤣🤣 weeeeh nambie “KOMA”Anatakaaa nayeyee apewee promooo, km mie nilivyokua natambaa naee winjaaa winjaaaa.
Sasa mume hatakiii,
Uduguuu acha fujooo, nshamuachiaaa bi mdogoo, uwanja ni wake, afu sijui anakwamaa wapii kumuhandlee bwanaaa Lol.
weeeeh nambie “KOMA”
Ko bi anko naye anataka kubebishwa hadharani? Ahiyiiii nyie mi staki!!
Mume kagoma kutoa kiki!! Awwwwh hii kiboko
Sasa kila mtu na nyota yake jamani..
Basi bwana shemeji ampe kiki hata kidogo naye avimbe.!!
Nawe ko umekubali kumuachia?? Usimuache Le big BOSS bana, kaba had kieleweke.!





uduguuuuu Una nn lakiniii weyeeee??Eheeeeyahhh 👌😹😹😹yaan nachekaa mbavu zinaumaa, miee
Aaaah JF ina hekaa hekaa hiii, basi mie rohoo kwatuuuu.
😹😹😹 km hajatibua zivu mpotezeeAkuu mi namzoom Wala hatujatibuana🤣
Whattttthhhh?!!!!!uduguuuuu Una nn lakiniii weyeeee??
Wameachanaaaaa!! Habariiii hunaaa, mdogoo ako kavurugwaa hukoo.
1 haikai, 2 haisimamiiii.
Sema kingineeeeWhattttthhhh?!!!!!
Warereeeeeee.!! Unaambiwa ukitaka kujua umuhimu wa matraco kalia kichwa uone.!!
Na toka lini sikio likazidi kichwa??
Kwahiyo baba Jane bye bye 👋🤣🤣🤣
Jamani dj Nyamwi em nipigie kibao cha mapacha watatu “KUACHWA” 😂😂😂
Ndiomana hana raha machikiniii katoto lee
Sasa Shem anataka kurudi nyumba kubwa au? 😜
Mana uduguu ukute ushapindua meza kibabe
Uduguuu nisogezeee huo ubuyuuuu hata kulee bhanaaa.Eheeeeyahhh 👌😹😹😹
Mapenzi ya jf, ila nna liubuyu linanitesa.!
Kuna penzi lingine nalo lina crack’s km zote.. unaambiwa bwana kuna sehemu anajichekesha na kutoa miamala km yote Ila bidada hajuii
Weeeh uduguuuuu utaniponza niropoke 😹🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️