Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Jamanii!!Nasubiria wewe
Kitanda naiona kubwa without you in here
Namalizia kufunga mlango my

Jamanii!!Nasubiria wewe
Kitanda naiona kubwa without you in here

, nimefunga vizuriJamanii!!
Namalizia kufunga mlango my![]()
Hiyo nilishakagua yote, nimefunga vizuri
Lemme come beba you, take you to bed...








🍫Asee,hii ndio chocolate skin ,sijui chocolate colour mnaita?
😀Yes mimi unga mkono wewe kabisa
Mlikuwa mmepoa sana 😀😀Halafu uncle bana hujaachaga tu uchokozi?
Mida ya wanga
Mlikuwa mmepoa sana![]()
Niseme ukweli tu. Si Wasukuma hatujui kupika.
Nani humu keshawahi kula pilau lililopikwa na Msukuma? Hapa nazungumzia Msukuma wa Usukumani. Siyo hawa wa mjini Daslamu ambao hata ukiwaambia ‘ng’wanene’ hajui maana yake. Pilau ya Kisukuma ni vichekesho tupu.
Leo baada ya kutinga Ikungu...nikaamua nipitie chimbo moja hivi nipate kitimoto.
Now look at this here. Kikavuuuuu utadhani ni ng’homele.
View attachment 1281541
Looh. Karibu nyumbani
Hahaha mie nikionaga mdada mzur nasema mwenye huyu manzi anafaidi
Kuna watu wazur aiseer acha kabisaaa
😀😀😀 nimechekaWeusi tumebaki wachache,be proud bwana