Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niseme ukweli tu. Si Wasukuma hatujui kupika.

Nani humu keshawahi kula pilau lililopikwa na Msukuma? Hapa nazungumzia Msukuma wa Usukumani. Siyo hawa wa mjini Daslamu ambao hata ukiwaambia ‘ng’wanene’ hajui maana yake. Pilau ya Kisukuma ni vichekesho tupu.

Leo baada ya kutinga Ikungu...nikaamua nipitie chimbo moja hivi nipate kitimoto.

Now look at this here. Kikavuuuuu utadhani ni ng’homele.

0D4D6999-A686-4432-8441-F5289C4EAF4F.jpeg
 
Season 6 Ep 10 imeishia Ghost kapigwa risasi ya kifua, na baada ya kupigwa risasi kaoneshwa akianguka toka floor ya kwanza katika ile bar yake...

So hatujui ni nani kamshoot kati ya Tate (huyu humjui), Tasha, Tom etc

Hatujui kama ata survive au lah, season finale itakuwa ndefu kidogo na ndio mwisho wa Power story haiendelei tena
Aiseee
 
Back
Top Bottom