Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwahiyo week nzima unaugulia fukuto la picha za dollar ambazo hazikuhusu???
Unajua wewe dunya nilijua mjinga ila sikujua ni mjinga kwa kiwango hiki??!!!
Hivi hata dollar unazijua? Ushawahi kuzishika??
Nimejua tatizo lako lilipo, umeziona nikiwa nimezishika kwa kuzipanga kwa upande mwingine.!!
Hapo ulitakiwa uombe nizigeuze upande mwingine ili uangalie muhuri.!!

Wee and 100 others si unajisifu uko abroad? Umeshindwa hata kumsaidia dunya lako kumwambia dollar zinafananaje.!!?
Mi hizi dollar kwangu mwenzio za kawaida sana nazikamata km niko kwa Biden kumbe niko kwa mama Kizimkazi pole sana

Haya nimekuwekea kwa ukaribu uziangalie na muhuri uutazame vizuri

NB; Btw Nimekujibu ili kukutoa kamasi kwenye ubongo, ila wajinga km wewe niliacha kuwajibu coz nashusha brand.!
Bro unazingua..
 
Niliacha kuwajibu Ila hili la dollar nilitaka kumuelewesha ili nimtoe kamasi, nikagundua hataki kujifunza ana chuki binafsi.!
Nwei yeye apambane na life lake aache chuki.
Tulikubaliana mpaka December hakuna ban. Hata July nadhani hatukuvuka. Na August hii tena tunatafuta nyingine? Yaani wewe kha! 😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
IMG_20240803_121309_733.jpg


Hello Sunday 🥂
 
Back
Top Bottom