Kwahiyo week nzima unaugulia fukuto la picha za dollar ambazo hazikuhusu???
Unajua wewe dunya nilijua mjinga ila sikujua ni mjinga kwa kiwango hiki??!!!
Hivi hata dollar unazijua? Ushawahi kuzishika??
Nimejua tatizo lako lilipo, umeziona nikiwa nimezishika kwa kuzipanga kwa upande mwingine.!!
Hapo ulitakiwa uombe nizigeuze upande mwingine ili uangalie muhuri.!!
Wee
and 100 others si unajisifu uko abroad? Umeshindwa hata kumsaidia dunya lako kumwambia dollar zinafananaje.!!?
Mi hizi dollar kwangu mwenzio za kawaida sana nazikamata km niko kwa Biden kumbe niko kwa mama Kizimkazi pole sana
Haya nimekuwekea kwa ukaribu uziangalie na muhuri uutazame vizuri
NB; Btw Nimekujibu ili kukutoa kamasi kwenye ubongo, ila wajinga km wewe niliacha kuwajibu coz nashusha brand.!