Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚ Basi ndio maana ni mshamba wewe ushamba mwiko kwa mtoto wa kariakoo dollar nyeupe πŸ˜‚
Mimi ni mshamba kweli ila wewe ni kituko
Dola feki haipimwi hivyo
Hujui hata km kuna tofauti ya camera

Kuonea wivu pesa za watu ni tabia zetu akina dada, Achana nazo.
 
Mimi ni mshamba kweli ila wewe ni kituko
Dola feki haipimwi hivyo
Hujui hata km kuna tofauti ya camera

Kuonea wivu pesa za watu ni tabia zetu akina dada, Achana nazo.
Basi nkamu utamuua 😹😹
 

Attachments

  • IMG_3011.jpeg
    IMG_3011.jpeg
    65.8 KB · Views: 4
Kabisa
Nayo ni hatua pia

Ukiwa kapuku hata feki huwezi kukutana nazo,nani anambambikia Dola mtu kapuku?
Wanabambikiana matajiri wafanyabiashara.
😹😹 nkamu atajijolea mwenzio kashapanic kiki yake imebuma umempiga spana kali.!
Kabaki kuita watetezi nao ni walewale masungura tope.!
Hana biashara ya mzunguko wa dollars atazijulia wapi?!
 

Attachments

  • IMG_3091.jpeg
    IMG_3091.jpeg
    43.4 KB · Views: 4
Lamomy umeshavuka levo za watu wengi humu, usihangaike na watu wanaokuchokonoa just keep calm mtu akupende asikupende achana naye
Niliacha kuwajibu Ila hili la dollar nilitaka kumuelewesha ili nimtoe kamasi, nikagundua hataki kujifunza ana chuki binafsi.!
Nwei yeye apambane na life lake aache chuki.
 
Back
Top Bottom