Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,248
- 79,829
Unaniambia Mimi sizijui pesa mtoto mdogo wewe
Kuna watu wameleta dharau hapa 😂😁🤣😂Dah! Unaniita kwenye picha ya mipesa wakati sina hata 50 mbovu🥹
Kwahiyo hizo ni hela zako?🤔 Vidole vyako navijua fanya kutupia video ukiwa unazihesabu hizo pesaKuna watu wameleta dharau hapa 😂😁🤣😂
Upambane upate nini swahiba🤣 dlo
Unataka nipewe nyeupe auKwahiyo hizo ni hela zako?🤔 Vidole vyako navijua fanya kutupia video ukiwa unazihesabu hizo pesa
Nipate Dau coz haya maisha usipopambana nitaishia kuita watoto wazuri shemeji 😂😂😂
Sawa tajiri..!Unataka nipewe nyeupe au
Kwa hiyo mimi kapuku sio😭😭Sawa tajiri..!
Twende kwenye Uzi wetu ukaniekee nyimbo nzuri kwanzaSawa tajiri..!
🤣😁😁Mzee wa dollarKwa hiyo mimi kapuku sio😭😭
Wewe ndiye tajiri yangu tatizo lako hupigi picha na pesa☺️Kwa hiyo mimi kapuku sio😭😭
Ila wewe😂🙌Twende kwenye Uzi wetu ukaniekee nyimbo nzuri kwanza
Mimi sina pesa😪Wewe ndiye tajiri yangu tatizo lako hupigi picha na pesa☺️
Nazitoa wap master?🤣😁😁Mzee wa dollar
😎Ninyamaze nisije kuchomoa betri bureMimi sina pesa😪
🤣😁😁😁😁Nazitoa wap master?
Nitakupiga nikuue😒😎Ninyamaze nisije kuchomoa betri bure
Mda wa kumuangalia anitta huu twenzetuIla wewe😂🙌
Ndio maana nimefunga mdomo🤐Nitakupiga nikuue😒
Twende...Mda wa kumuangalia anitta huu twenzetu