Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Wacha weeNiache kumgusa mke wangu nimguse anonymous 😎😁😂😂😂 Mali ya umma vipi
Kwa kuwa wewe ni mali ya umma basi mawazo yako ni hayo muda wote
Hujachelewa kuacha
Bado unao muda.
Wacha weeNiache kumgusa mke wangu nimguse anonymous 😎😁😂😂😂 Mali ya umma vipi
Nkamu huyu mlugaluga ni wa kuachana naye kashaanza kupanicMuombe lamomy akupe angalau ushike tu
Siyo dhambi ukazijua
Atakupa tu ushike angalau
Haiwezekani nitalia sanaMkifungwa itakua poa sana.
Wakuache babiee j2 hii wasikuchosheraraa reree usicheke ndugu yangu, ile pic niliyokudediketi imeumiza watu huku.!! 😹
😂😁😁😁😁Kuna watu wamepandisha sukariBadala ya kutupia picha mmeanza kutupiana maneno🤣
Kwan wao inawauma nini? 😹😹Wakuache babiee j2 hii wasikuchoshe
Wameona nafaidi dabo dabo 😊 mtoto mkali na 💸Kwan wao inawauma nini? 😹😹
Wanamind nini?
Hakunaga dollar nyeupe kama karatasi isiyo na muhuri la mueve puta Cc 100 others
and 100 others
Cc mshamba_mwingine
Cc ephen_ 😁😁😁😁🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁 Fake P
View: https://youtu.be/Yq_G_nmR3XI?si=HdAxsGBXLG10uJAr
Watakuloga aiseee.!! 😹😹Wameona nafaidi dabo dabo 😊 mtoto mkali na 💸
Mi mwenyewe mzito 😄Watakuloga aiseee.!! 😹😹
Igweeeeeeeee 😂Mi mwenyewe mzito 😄
😂😂😂 Ngoja nipambane
ChaiMkuu hadi picha ya dollar za mtu inakuuma roho?
Hizo zake ni mpya bado hazijapita mikononi sana
Dah! Unaniita kwenye picha ya mipesa wakati sina hata 50 mbovu🥹Hii sio sawa na dollar nyeupee Cc ephen_ View attachment 3061082
Kijiji beach au kwa mama🤣Ngoja niende baharini hapa kula upepo wa bahari happy Yanga SC 💚💚💚