Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ilikuwa mtu akinikazia macho
Na Mimi namkazia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kwanza ukiniona,sifananii hata kuwa na pesa,juu ya mfuko nimeweka vikoti vya elfu 1 na kijora Cha 5500

Mekatisha na pesa tandahimba narung'ombe,nakuja Congo kuchagua vijora,nipo nazo
Nashuka karume mtumbani nipo nazo

Yaani huyu Malaika wa ulinzi hana mbambamba.

Kipindi Fulani nimerudi Mbeya
Nakatika na minote yetu ml2
Wanasemaje eti wasije wakakuibia
Yaani sijaibiwa pesa Kariakoo nije kuibiwa huko Mbeya vijijini๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Eti ooh wanaibia madawa
Mimi:hakuna kitu kama hicho

Eti tema mate chini
Nkamu wee kiboko.!!
Fanya urudi basi
Kkoo bado unaidai ๐Ÿ˜น
 
Hakunaga dollar nyeupe kama karatasi isiyo na muhuri la mueve puta Cc 100 others

and 100 others
Cc mshamba_mwingine
Cc ephen_ ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Fake P


View: https://youtu.be/Yq_G_nmR3XI?si=HdAxsGBXLG10uJAr

Kwahiyo week nzima unaugulia fukuto la picha za dollar ambazo hazikuhusu???
Unajua wewe dunya nilijua mjinga ila sikujua ni mjinga kwa kiwango hiki??!!!
Hivi hata dollar unazijua? Ushawahi kuzishika??
Nimejua tatizo lako lilipo, umeziona nikiwa nimezishika kwa kuzipanga kwa upande mwingine.!!
Hapo ulitakiwa uombe nizigeuze upande mwingine ili uangalie muhuri.!!

Wee and 100 others si unajisifu uko abroad? Umeshindwa hata kumsaidia dunya lako kumwambia dollar zinafananaje.!!?
Mi hizi dollar kwangu mwenzio za kawaida sana nazikamata km niko kwa Biden kumbe niko kwa mama Kizimkazi pole sana

Haya nimekuwekea kwa ukaribu uziangalie na muhuri uutazame vizuri

NB; Btw Nimekujibu ili kukutoa kamasi kwenye ubongo, ila wajinga km wewe niliacha kuwajibu coz nashusha brand.!
 

Attachments

  • IMG_3177.jpeg
    IMG_3177.jpeg
    348.1 KB · Views: 8
  • filtered-8F8A3FCF-55E1-4638-9947-CE94AD838EDE.mov
    33 MB
We jamaaa unaomba karatasi fake nyeupe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Wewe huzijui dollar ndiomana wale wazungu walikutapeli wakakutupa kigamboni.!!
Punguza ujinga, halafu mimi nilijua utakuja kuniprove wrong kwa kuleta na wewe dollar zako, kumbe mpk uende you tube.!!?
Pole sana punguza kunibeba moyoni utapata depression kaka bonge.!
 
Wewe huzijui dollar ndiomana wale wazungu walikutapeli wakakutupa kigamboni.!!
Punguza ujinga, halafu mimi nilijua utakuja kuniprove wrong kwa kuleta na wewe dollar zako, kumbe mpk uende you tube.!!?
Pole sana punguza kunibeba moyoni utapata depression kaka bonge.!
Acha janja janja kijana hakuna dollar hapo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ dollar sio nyeupe hivyo ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ hii imekuuma hadi sukari imekupanda ushahidi huu hapa picha credit by Google dollar haiwi nyeupe hiyo yako embu tuone mhuri wake
20240804_063821.jpg
 
Kwahiyo week nzima unaugulia fukuto la picha za dollar ambazo hazikuhusu???
Unajua wewe dunya nilijua mjinga ila sikujua ni mjinga kwa kiwango hiki??!!!
Hivi hata dollar unazijua? Ushawahi kuzishika??
Nimejua tatizo lako lilipo, umeziona nikiwa nimezishika kwa kuzipanga kwa upande mwingine.!!
Hapo ulitakiwa uombe nizigeuze upande mwingine ili uangalie muhuri.!!

Wee and 100 others si unajisifu uko abroad? Umeshindwa hata kumsaidia dunya lako kumwambia dollar zinafananaje.!!?
Mi hizi dollar kwangu mwenzio za kawaida sana nazikamata km niko kwa Biden kumbe niko kwa mama Kizimkazi pole sana

Haya nimekuwekea kwa ukaribu uziangalie na muhuri uutazame vizuri

NB; Btw Nimekujibu ili kukutoa kamasi kwenye ubongo, ila wajinga km wewe niliacha kuwajibu coz nashusha brand.!
Brand Gani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜ kuediti picha nayo ujui ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ unaedit dollar unazipaka rangi ya kijani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ shame Shame shame shame
20240710_151433.jpg
 
Brand Gani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜ kuediti picha nayo ujui ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ unaedit dollar unazipaka rangi ya kijani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ shame Shame shame shame View attachment 3060933
Hilo ni dume na ni li tapeli linawaset tu huku JF na picha za kudownload.
 
Back
Top Bottom