Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Sawa dada angu mpendwa, lakini bado nasisitiza huwa najibu kwa kadri ya kile kinachoandikwa ambacho kitanihusuWote mmesema hakuna anayemtaka mwenzie
Basi mpotezee tu shemeji
Tuendelee kujadili siasa zetu safi
Huku kwenye umbea siyo hadhi yako shemeji
We nawe acha ujingaJinsi nafeel leo nngehitaji uwepo wako 😔
Nani anayekuteka.😃😃Muite chino mwambie nimemmiss
Wee lekchaaa kwann hunichukuiii? Afu nataka kukanyaga mafuta, kesho unipe ndinga niisukume.View attachment 3023401Wale wa segerea
Sawa love 😔We nawe acha ujinga
Mm napiga kulingana na aina ya silaha anazokuja nazo adui, huwa siui mende kwa nyundo🤣🤣🤣🤣 unanichosha ukizipata nishtue ss hivi nna issue nafanya km dk 30
Shemeji haendani kabisa na haya mambo aiseeHuku ndo kunamfaa muache, anapenda miubuyu huyo kuliko chochote
vizuri sana. Mimi nipo on and off haipiti week sipo humu. ni vile wakati mwingine nasoma tu sipost chochote.Ni kweli, nilibanwa nje ya JF. Nikapotea toka mwaka jana miezi ya mwishoni. Mungu ni mwema, tuko salama.
Si unaona hakuna anayetaka kuonekana ameshindwa ,Sawa dada angu mpendwa, lakini bado nasisitiza huwa najibu kwa kadri ya kile kinachoandikwa ambacho kitanihusu
Nina dozi za aina zote kwa ajili ya hayo
Nimekuelewa
Hapo kwenye Nguniani na matakapera napumzika, lini sasa nkamu nifate??Shemeji haendani kabisa na haya mambo aisee
Mpotezee tu Nkamu,
Tuendelee na stori zetu za nguniani
Nimekubebe na matakapela
Dozi ninazo, natoa kulingana na hali ya mgonjwaDozi uzitoe wapi kujipa misifa tyuu!! Hapo una kopo la sprite unatetemeka kengele zote zimenywea
Wapi hii bruh Fantasy au Kingdom 😄View attachment 3023401Wale wa segerea
Countrywide 😂😂😂😂Ila hii couple kwanini machale yananicheza ni msela au mdada mmoja yupo kwenye kichumba flani gizani na simu mbili, anajiuliza na kujijibu kutuchezea akili, hakunaga ugomvi wa hivi. Hii couple mi nilistuka toka day 1 nikajua tu hii ni tamthilia.
Kwanini mgombanie jf, whatsapp na huko mtaani mmeshindwa kutafutana?
Vitu vyenyewe mnavyojibishana naona mnasifiana tu, mara umepanda cheo, mara huyu mwingine eti ooohh kantry utaniua nakuelewa sana, mara eti ana pesa...
Acheni kuchezea akili za watu aisee.... acheni kutufanya watoto..
Nyie acheni ktuchezea akili, shenz taipu, kalaleniMm hayo yananihusu vipi?
Kabla sijakujibu, hili umeaddress kwa wengine au na kwangu pia?Ila hii couple kwanini machale yananicheza ni msela au mdada mmoja yupo kwenye kichumba flani gizani na simu mbili, anajiuliza na kujijibu kutuchezea akili, hakunaga ugomvi wa hivi. Hii couple mi nilistuka toka day 1 nikajua tu hii ni tamthilia.
Kwanini mgombanie jf, whatsapp na huko mtaani mmeshindwa kutafutana?
Vitu vyenyewe mnavyojibishana naona mnasifiana tu, mara umepanda cheo, mara huyu mwingine eti ooohh kantry utaniua nakuelewa sana, mara eti ana pesa...
Acheni kuchezea akili za watu aisee.... acheni kutufanya watoto..
Unajifariji huna loloteMm napiga kulingana na aina ya silaha anazokuja nazo adui, huwa siui mende kwa nyundo