Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_6900.jpeg
Wale wa segerea
 
Wote mmesema hakuna anayemtaka mwenzie
Basi mpotezee tu shemeji

Tuendelee kujadili siasa zetu safi

Huku kwenye umbea siyo hadhi yako shemeji
Sawa dada angu mpendwa, lakini bado nasisitiza huwa najibu kwa kadri ya kile kinachoandikwa ambacho kitanihusu
Nina dozi za aina zote kwa ajili ya hayo

Nimekuelewa
 
Ni kweli, nilibanwa nje ya JF. Nikapotea toka mwaka jana miezi ya mwishoni. Mungu ni mwema, tuko salama.
vizuri sana. Mimi nipo on and off haipiti week sipo humu. ni vile wakati mwingine nasoma tu sipost chochote.
Kuna uzi ule wa Abdul nilikuuliza ufunguke ukanikimbia 😂 usifanye hivo bwana mtoto mzuri
 
Sawa dada angu mpendwa, lakini bado nasisitiza huwa najibu kwa kadri ya kile kinachoandikwa ambacho kitanihusu
Nina dozi za aina zote kwa ajili ya hayo

Nimekuelewa
Si unaona hakuna anayetaka kuonekana ameshindwa ,

Wewe mpotezee tu usimjibu.
Nadhani hii ni njia nzuri ya kumaliza haya mabishano.
 
Shemeji haendani kabisa na haya mambo aisee

Mpotezee tu Nkamu,
Tuendelee na stori zetu za nguniani
Nimekubebe na matakapela
Hapo kwenye Nguniani na matakapera napumzika, lini sasa nkamu nifate??
Ulete nimpikie shemeji yako hazijui kwao wamezoea milungi na mijani
 
Ila hii couple kwanini machale yananicheza ni msela au mdada mmoja yupo kwenye kichumba flani gizani na simu mbili, anajiuliza na kujijibu kutuchezea akili, hakunaga ugomvi wa hivi. Hii couple mi nilistuka toka day 1 nikajua tu hii ni tamthilia.

Kwanini mgombanie jf, whatsapp na huko mtaani mmeshindwa kutafutana?

Vitu vyenyewe mnavyojibishana naona mnasifiana tu, mara umepanda cheo, mara huyu mwingine eti ooohh kantry utaniua nakuelewa sana, mara eti ana pesa...

Acheni kuchezea akili za watu aisee.... acheni kutufanya watoto..
 
Dozi uzitoe wapi kujipa misifa tyuu!! Hapo una kopo la sprite unatetemeka kengele zote zimenywea
Dozi ninazo, natoa kulingana na hali ya mgonjwa
Misifa ninayo haswaa, Ila ndio nakuambia kila muda kuwa na ww unayo tena sana
Kengele zangu haziwezi kunywea, always zipo rigid
 
Ila hii couple kwanini machale yananicheza ni msela au mdada mmoja yupo kwenye kichumba flani gizani na simu mbili, anajiuliza na kujijibu kutuchezea akili, hakunaga ugomvi wa hivi. Hii couple mi nilistuka toka day 1 nikajua tu hii ni tamthilia.

Kwanini mgombanie jf, whatsapp na huko mtaani mmeshindwa kutafutana?

Vitu vyenyewe mnavyojibishana naona mnasifiana tu, mara umepanda cheo, mara huyu mwingine eti ooohh kantry utaniua nakuelewa sana, mara eti ana pesa...

Acheni kuchezea akili za watu aisee.... acheni kutufanya watoto..
Countrywide 😂😂😂😂
 
Ila hii couple kwanini machale yananicheza ni msela au mdada mmoja yupo kwenye kichumba flani gizani na simu mbili, anajiuliza na kujijibu kutuchezea akili, hakunaga ugomvi wa hivi. Hii couple mi nilistuka toka day 1 nikajua tu hii ni tamthilia.

Kwanini mgombanie jf, whatsapp na huko mtaani mmeshindwa kutafutana?

Vitu vyenyewe mnavyojibishana naona mnasifiana tu, mara umepanda cheo, mara huyu mwingine eti ooohh kantry utaniua nakuelewa sana, mara eti ana pesa...

Acheni kuchezea akili za watu aisee.... acheni kutufanya watoto..
Kabla sijakujibu, hili umeaddress kwa wengine au na kwangu pia?
 
Back
Top Bottom