Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,854
Unajifariji huna loloteMm napiga kulingana na aina ya silaha anazokuja nazo adui, huwa siui mende kwa nyundo
Unajifariji huna loloteMm napiga kulingana na aina ya silaha anazokuja nazo adui, huwa siui mende kwa nyundo
Ooh vizuri, ningefunguka zaidi Sameer angenijua. Sikutaka iwe hivyo, ila kuna mtu aliniquote akaelezea pia.vizuri sana. Mimi nipo on and off haipiti week sipo humu. ni vile wakati mwingine nasoma tu sipost chochote.
Kuna uzi ule wa Abdul nilikuuliza ufunguke ukanikimbia 😂 usifanye hivo bwana mtoto mzuri
Nakuletea Nkamu wiki inayoanza j3Hapo kwenye Nguniani na matakapera napumzika, lini sasa nkamu nifate??
Ulete nimpikie shemeji yako hazijui kwao wamezoea milungi na mijani
Umerudi na leo tena?Nyie acheni ktuchezea akili, shenz taipu, kalaleni
Huyu amalizane na coca kwanza, na ataje wenzie walipo.
Kipome muhimu ntaungia nini sasa?? Na cake nataka uniandalie.Nakuletea Nkamu wiki inayoanza j3
Umuwekee na kipome😂😂😂
Mwingine yupi wakati we ni mtu mmoja.Kabla sijakujibu, hili umeaddress kwa wengine au na kwangu pia?
Sawa dada, ngoja nirudishe silaha ghalani. Kesho nayo sikuSi unaona hakuna anayetaka kuonekana ameshindwa ,
Wewe mpotezee tu usimjibu.
Nadhani hii ni njia nzuri ya kumaliza haya mabishano.
Sawa, lingine lipi?Mwingine yupi wakati we ni mtu mmoja.
😂😂😂😂 mlitulia mnasubiri clip, mkaona haziji mnatufukuza sasa??Nyie acheni ktuchezea akili, shenz taipu, kalaleni
Acheni kutuigizia... ushamba tu.Huyu amalizane na coca kwanza, na ataje wenzie walipo.
Wataje wewe kwani huwajui?Huyu amalizane na coca kwanza, na ataje wenzie walipo.
Huwa napenda ugomvi kuliko chakula, kwa hiyo huwa kila siku najifunza mbinu mpya za kupambanaUnajifariji huna lolote
Sawa kiongozi, lingine lipi?Acheni kutuigizia... ushamba tu.
Acha sifa, silaha huna. Na kwanza kwann unabishana na mwanamke?Sawa dada, ngoja nirudishe silaha ghalani. Kesho nayo siku
Nyie hamuwezi kunipata, kama mnatunga story hazina kichwa wala miguu mkifikiri nitachukia kwa sababu nachukia LGBT hapo mmefeli, unafeli biiig time.Wataje wewe kwani huwajui?
Ngoja nimalizie mjani, nitarudi na nguvu zaidiWataje wewe kwani huwajui?
Hunizidi mimi, si mpk kuna muda ulikuwa unanikataza unakumbuka?Huwa napenda ugomvi kuliko chakula, kwa hiyo huwa kila siku najifunza mbinu mpya za kupambana
Wewe nawe tulia, wenzio wako wapi?Nyie hamuwezi kunipata, kama mnatunga story hazina kichwa wala miguu mkifikiri nitachukia kwa sababu nachukia LGBT hapo mmefeli, unafeli biiig time.