sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Yes,nipe maana ya jina kwani, afu km ni Masai hivi?
Kuhusi ugomvi watamaliza wao wenyewe, usiwe na wasi wasi.
Wamasai flani, hivi...
Kimasai sumbai maana yake judge, leader🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Yes,nipe maana ya jina kwani, afu km ni Masai hivi?
Kuhusi ugomvi watamaliza wao wenyewe, usiwe na wasi wasi.
Ubarikiwee sanaa mzee wa hall V, hilo jina limepita bila kupingwaaa!!!Yes,
Wamasai flani, hivi...
Kimasai sumbai maana yake judge, leader![]()
Subiri uone, utaelewa
Mm sina cheo chochote acha hizi mambo, hapa nazungumzia kupambana kwenye hiliKokote napambana na wewe usintishe kwa hiko cheo chako cha kupewa
Yes muda sana, nimekuona hapo nami ndiyo nikakukumbuka. Vizuri kama u mzima.Niko poa kabisa. Mambo vipi?
Hivi si ndo kuna kipindi ulipost picha nikakupenda mzima mzima? kama ni wewe bado nakukumbuka.
Sio Fan sana wa huu uzi ila wewe nilikuona na ni kifaa.
Naam, namimi nitafanya maombi juu ya hili.Ubarikiwee sanaa mzee wa hall V, hilo jina limepita bila kupingwaaa!!!
Hii ni burudani wengine wanalipia sisi tunaipata bure..Wee nawee uachee umbeaa mxxxxxiiiiiieeeeew!!! Yanakuhusuu?
![]()
Najibu kile ambacho anaandika, hiyo nitamjibu kwa kadri atachokua anaandika. Vinginevyo sina kwere, nipo nimechill tu nacheck belgium hapaShemeji potezea basi
Umeendelea tena?🥺
Acheni jamani
Mnafaidisha tu wambea humu
😂😂😂😂 bado hujasema.Mm sina cheo chochote acha hizi mambo, hapa nazungumzia kupambana kwenye hili
Tulia dogo, leo belgium wapo fire au presha huangalii mechi?Usintishe kwender
Unaandika utumboWe umeona nini? Ushaanza kupata degedege maandishi hayaonekani?
Ukiona umezidiwa weka clip hata moja sawa?Kokote napambana na wewe usintishe kwa hiko cheo chako cha kupewa
Tunaacha muanze kulipiaHii ni burudani wengine wanalipia sisi tunaipata bure..
Hii ni burudani wengine wanalipia sisi tunaipata bure..



uache umbeaa wee mwanaume jamani, sasa mda ulinikataza nn nawee hapa unafanya nn? Unavyopenda udakuu weyeeee. LolWw utakua wa kuja, sio mjanja kabisa😂😂😂😂 bado hujasema.
Bonyokwa hatuna DSTV hata tivii sina, ninunulie boss. Halafu presha na wewe bado sanaTulia dogo, leo belgium wapo fire au presha huangalii mechi?