Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Stress na upweke ndio vinakusumbua na kutoka ni ngumu vishakua suguMimi niwe mpweke?? Na wewe uwe nani sasa?? Una sonona na trauma juu. Bado umeona haitoshi unavuta mpepe ukuliwaze
Stress na upweke ndio vinakusumbua na kutoka ni ngumu vishakua suguMimi niwe mpweke?? Na wewe uwe nani sasa?? Una sonona na trauma juu. Bado umeona haitoshi unavuta mpepe ukuliwaze
Inapaswa uwe mpatanishi. I hope you can do that well.
Mm nakunyoosha vizuri tu alafu mdogo mdogo bila keleleHuyu cha umbea anatakiwa akatwe kilimilimi
Zitafute mkuu nyingine ni hiziNgoja nizitafute chaaap.
Weka na za American drama. Pls
Ooooh kumekuchaaaa sasa.Hakuna cha kujiona mjinga, kaa kwa kutulia si umelianzisha mimi nitalimaliza.!! Hii nimkuahidi. Weka msg zilizoendelea chini mbona hujamalizia??
Wewe kuonekana lazima sababu unapenda umbea, mi shosti wangu na mmbea mwenzetu.
Uliona jibu nililokupa??
Huu mwaka ni WA kheri,Wee wenzako huko PM wananiona wife material na mzaa chema wa wana,
Huu mwakaa naolewa na kuzaa ntazaa, jiandae kuitwa ankolii,
Na mimi zako za naked ninazo, tena zaidi msauti upo clear unajiliza
Hebu nimtafute mange nchi imepoa inatakiwa ichangamke





khaaaaah
Kidney atakuletea, ndiyo muhudumu wetu leo hapa...Mhudum lete pop koni.
Kumekucha.
Mmmh wee mzee wa hall V, hata usijari watakua sawa tyuuuh.Inapaswa uwe mpatanishi. I hope you can do that well.
Zishakua kitambo? Unajizima data?Hizo msg za muda kitambo hiko tena ilikuwa ni kesi ya miwivu yako mimi kubebishana na watu jf 🤣🤣🤣🤣
Hizo zitunze, mimi zako zile konki sitaki kuweka hapa, huku hakuna kiki tunajichosha. Raha ya ubuyu wa mtu km wewe usomwe na taifa zima. Yani huku ukija nyuzi zipishane kufunguliwa kutuhusu sisi. Nataka tutrend jf nzima na nchi kwa ujumla
Huu mwaka ni WA kheri,
Mungu atimize maoni na ndoto zako engineer




tena ndoa ya kikristooo, nyie hamuogopiiiiii??Siamini ninacho kiona,Kidney atakuletea, ndiyo muhudumu wetu leo hapa...
Kidney atakuletea, ndiyo muhudumu wetu leo hapa...




jamaniiii woiiiiiihNaona unajizima data Ila haisaidii kitu, mm natoa dozi kwa kadri utavyokuja.It’s not a big deal ila utaisimamisha kwa muda. Hizo video sio zangu utajichosha, ila wewe sasa na sauti lako na la …..yako. Kivumbi
Uongo, hii imekuuma na hapo unaenda kukojoa kila mara chonde chonde usipige watoto 😂😂😂Mm mjani nakula kila siku, hii ndio breakfast na dinner yangu
Tulia hivyo hivyo maana leo ni weekend huwa sina haraka ya jambo loloteUongo, hii imekuuma na hapo unaenda kukojoa kila mara chonde chonde usipige watoto 😂😂😂
Naomba ukibarikiwa mtoto injinia napendekeza aitwe Sumbai.tena ndoa ya kikristooo, nyie hamuogopiiiiii??