Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Attachments

  • 8fbdeb8f-8924-46e7-adae-f8b8806eeb0f.jpeg
    8fbdeb8f-8924-46e7-adae-f8b8806eeb0f.jpeg
    133.7 KB · Views: 5
  • 7d22cb55-b844-4c80-85db-311a8ab2a008.jpeg
    7d22cb55-b844-4c80-85db-311a8ab2a008.jpeg
    162.6 KB · Views: 4
  • cb4e690c-d9a5-49bb-9711-c486b549e2be.jpeg
    cb4e690c-d9a5-49bb-9711-c486b549e2be.jpeg
    91.2 KB · Views: 5
Hakuna cha kujiona mjinga, kaa kwa kutulia si umelianzisha mimi nitalimaliza.!! Hii nimkuahidi. Weka msg zilizoendelea chini mbona hujamalizia??

Wewe kuonekana lazima sababu unapenda umbea, mi shosti wangu na mmbea mwenzetu.
Uliona jibu nililokupa??
Ooooh kumekuchaaaa sasa.
 
Hizo msg za muda kitambo hiko tena ilikuwa ni kesi ya miwivu yako mimi kubebishana na watu jf 🤣🤣🤣🤣

Hizo zitunze, mimi zako zile konki sitaki kuweka hapa, huku hakuna kiki tunajichosha. Raha ya ubuyu wa mtu km wewe usomwe na taifa zima. Yani huku ukija nyuzi zipishane kufunguliwa kutuhusu sisi. Nataka tutrend jf nzima na nchi kwa ujumla
Zishakua kitambo? Unajizima data?

Zangu konki zipi? Unachowaza hakipo na ndio maana nasema kuna siku utajiona mjinga

Nb: nakupa dozi kulingana na unavyokuja
 
It’s not a big deal ila utaisimamisha kwa muda. Hizo video sio zangu utajichosha, ila wewe sasa na sauti lako na la …..yako. Kivumbi
Naona unajizima data Ila haisaidii kitu, mm natoa dozi kwa kadri utavyokuja.
 
tena ndoa ya kikristooo, nyie hamuogopiiiiii??
Naomba ukibarikiwa mtoto injinia napendekeza aitwe Sumbai.

Leo sijui kwanini, lakini nimefurahi kusikia ulichokiandika pale juu.

Jingine tafadhali, naomba uweke bidii kumaliza mzozo
 
Back
Top Bottom