Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Endelea kunitafuta nikianza kuteremsha missiles hapa wenzako wataanza kuingilia wanasema nakuonea... endelea..

Kwanza mmesababisha watoto wazuri wametoroka huu uzi, mmebaki nyie na sura zenu kama umeonja juisi ya Chloroquine.
mbonaa pambeeee!!!!
 
Sasa hapo ndio penyewe unaonaje tukishea?? Ila mimi nataka kushea sehemu nyingine hapa wazipate km udaku. Hapo vipi? Twende kwa Mange kule ndio kwenyewe we huogopi na mimi pia siogopi. Tena kule tunalipwa na tz nzima inapata habari zetu. Hivi vi msg havina ushahidi unaweza kujichatisha hata mwenyewe
kimeumanaaaaaa!!!!
 
Unachelewa nini si uweke, mimi au wewe ndio mpenda misifa humu?? Ulishaona mwanaume anashabikia umbea na kuleta chats zake humu?? Ni wewe kidampa msungo, halafu wanaume wenzio wanakucheka huna tofauti na wanawake wambea

Nimekwambia najua ninachofanya we tulia
 
Hakuna cha kujiona mjinga, kaa kwa kutulia si umelianzisha mimi nitalimaliza.!! Hii nimkuahidi. Weka msg zilizoendelea chini mbona hujamalizia??

Wewe kuonekana lazima sababu unapenda umbea, mi shosti wangu na mmbea mwenzetu.
Uliona jibu nililokupa??
Huoni hapo juu nilichokuambia?
Hapa nani alikua anajiliza?
 

Attachments

  • Screenshot_20240616-113835_1.jpg
    Screenshot_20240616-113835_1.jpg
    334.3 KB · Views: 4
Na mimi zako za naked ninazo, tena zaidi msauti upo clear unajiliza 🤣🤣🤣
Hebu nimtafute mange nchi imepoa inatakiwa ichangamke
Utajiona mjinga tu kwenye hilo
Alafu mwanaume akiwa naked it's not a big deal, Ila mwanamke vipi? Utaweza kuhimili? Maana sio picha tu, na video
 
Wewe wakutumbue ili tuwe tunashinda tunazogoa vizuri huku si unapenda umbea??

Weka msg zote mbona huweki? Zimeisha?
Yani wewe sijui ni limwanaume gani?? Sijawahi kuona mwanaume ana mambo ya kike km wewe?? Anakuzidi sele?? Humuoni vijiwe vya umbea wala kuchambana na wapenzi wake. Yule jamaa anadeserve kujiita smart. Kazi ipo kwako kisokolokwinyo hupitwi na umbea
kimeumanaaaa leo.
 
Back
Top Bottom