Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

b2b743ec-978e-4573-8db2-80527db03a13.jpeg
Nyie watoto Lamomy cocastic amkeni tule
 
Siwezi kuongea na mtu mjinga mimi. Nkamu huyu kantri anapenda sifa za kijinga, kila muda anajisemesha vimaneno km zai kijiwe nongwa vile
Huwezi tena kuongea na mtu mjinga? Huwa unapenda kweli kujiweka hivi wakati unajua huna hiyo classy
Nilikuambia nakuonea huruma sababu furaha yako unaipata kwa njia ngumu sana
 
Weeh!! Kumbe lekcha ndo aliyemtupia pande la mchongo?
Ko lekcha mambo alikula na ajira hajampa mwenzie mie sitakiii uduguuu khaaa!!

Uduguu usiondoke, ko boss wa kampuni alipita naye au ilikuwa miosho tyuu??! Mana kajua kutrambaa kwamba yy ndio First Lady wa boss
kuhusu lekcharaaa hata naelewa bas, ila alikua ananitambiaaa mie kuwa ana clear bill zote had luku,

Jamaniiiiii woiiiiiiiih
 
Weeh!! Kumbe lekcha ndo aliyemtupia pande la mchongo?
Ko lekcha mambo alikula na ajira hajampa mwenzie mie sitakiii uduguuu khaaa!!

Uduguu usiondoke, ko boss wa kampuni alipita naye au ilikuwa miosho tyuu??! Mana kajua kutrambaa kwamba yy ndio First Lady wa boss
Thubutuuuu yakee kwa boss's kujiosha tyuuh hakua hata na tyme, c angempa coverage humu, mmmmzxxxxxxiiiiiieeww!!!
 
Shosti yake yule bandama au yupi huyo? Mana yule kila mtu shosti yake humu
Tabata walimfanyaje? Wahuni walijinyakulia kombe au alichagua bega?
Uduguuuuy jamaniiiii!!! hatareeee tupuuu.
Sio huyu kongosho, ni kidampaa fulanii hivii. Full tafraniii.
 
Wewe wakutumbue ili tuwe tunashinda tunazogoa vizuri huku si unapenda umbea??

Weka msg zote mbona huweki? Zimeisha?
Yani wewe sijui ni limwanaume gani?? Sijawahi kuona mwanaume ana mambo ya kike km wewe?? Anakuzidi sele?? Humuoni vijiwe vya umbea wala kuchambana na wapenzi wake. Yule jamaa anadeserve kujiita smart. Kazi ipo kwako kisokolokwinyo hupitwi na umbea
Nitumbuliwe wapi? Kuna siku utajiona mjinga sana
Niweke msg zote zipi? Najibu kadri ya kile utachozungumza
Kama kawaida naona unajipandisha tena, huna hiyo hadhi bana ndio maana niliamua kukuchana na ndio sababu upo bado upo in denial.
Mm utaendelea kuniona as long as jambo linanihusu,
 
Back
Top Bottom