Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
😜😋😋😋
Siwezi kuongea na mtu mjinga mimi. Nkamu huyu kantri anapenda sifa za kijinga, kila muda anajisemesha vimaneno km zai kijiwe nongwa vileAcha Nkamu
Punguzeni kwanza hasira ndio muongee kwa upendo
Horror only?Kesho hiyo mapema namaliza weekend yangu na hiziView attachment 3023343View attachment 3023344View attachment 3023342
Aisee, Kwa hio na wewe huyo ba tamu anayekutafuna exhaust ulimpatia humu?



unataka kujua iwejeee??Huwezi tena kuongea na mtu mjinga? Huwa unapenda kweli kujiweka hivi wakati unajua huna hiyo classySiwezi kuongea na mtu mjinga mimi. Nkamu huyu kantri anapenda sifa za kijinga, kila muda anajisemesha vimaneno km zai kijiwe nongwa vile
Niko pouwa kabisa nimekunywa maji tyuu 😂😂😂My Wii umekunywa nn Leo
Weeh!! Kumbe lekcha ndo aliyemtupia pande la mchongo?
Ko lekcha mambo alikula na ajira hajampa mwenzie mie sitakiii uduguuu khaaa!!
Uduguu usiondoke, ko boss wa kampuni alipita naye au ilikuwa miosho tyuu??! Mana kajua kutrambaa kwamba yy ndio First Lady wa boss![]()




kuhusu lekcharaaa hata naelewa bas, ila alikua ananitambiaaa mie kuwa ana clear bill zote had luku, Thubutuuuu yakee kwa boss's kujiosha tyuuh hakua hata na tyme, c angempa coverage humu, mmmmzxxxxxxiiiiiieeww!!!Weeh!! Kumbe lekcha ndo aliyemtupia pande la mchongo?
Ko lekcha mambo alikula na ajira hajampa mwenzie mie sitakiii uduguuu khaaa!!
Uduguu usiondoke, ko boss wa kampuni alipita naye au ilikuwa miosho tyuu??! Mana kajua kutrambaa kwamba yy ndio First Lady wa boss![]()
Uduguuuuy jamaniiiii!!!Shosti yake yule bandama au yupi huyo? Mana yule kila mtu shosti yake humu
Tabata walimfanyaje? Wahuni walijinyakulia kombe au alichagua bega?





hatareeee tupuuu.Nitumbuliwe wapi? Kuna siku utajiona mjinga sanaWewe wakutumbue ili tuwe tunashinda tunazogoa vizuri huku si unapenda umbea??
Weka msg zote mbona huweki? Zimeisha?
Yani wewe sijui ni limwanaume gani?? Sijawahi kuona mwanaume ana mambo ya kike km wewe?? Anakuzidi sele?? Humuoni vijiwe vya umbea wala kuchambana na wapenzi wake. Yule jamaa anadeserve kujiita smart. Kazi ipo kwako kisokolokwinyo hupitwi na umbea