Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂 Kwahiyo ikawaje sasa?? Hapa jf unapewa yeyote ushindwe wewe.!! Nikikumbuka nachekaga sana.!! Kwahiyo na wewe kwenye list ya Jack upo? 🤣🤣🤣
Acha masihara beibe huyo hayupo kabisa🙄
 
Babeeee wangu huyooo, ulikua wapii? Maana kujoin mie hapaa nawe ushatuaa, huibiwii bhana, mie mali yakooo.
Naanzaje kukuacha Tajiriiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em nichapee na helaaa niswampiree weekend!!!
Unazingua kaka, watu watakufuata PM halafu siku ya kuonana ndio ile mtu anapigwa na kitu kizito kichwani.
 
Unazingua kaka, watu watakufuata PM halafu siku ya kuonana ndio ile mtu anapigwa na kitu kizito kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeee anifate nani PM? Akati tangu niwee nawe tajiri nimefunga kabisaaa!!!

Em acha ubakhiriii, nipee helaa nikamringishee uduguuu!!!
 
Sijaachika, sijaolewa ila bwana ninaye, niko single, sina mume ila boyfriend ninaye. We huogopi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tajirii muoga huyuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naanzaje kumuacha, vile alivyo afu na pesa mafunguu!!
Nimerogwaa au? Woiiiiiih
Anakuogopa mtoto mkaree kukumiliki hawezi, anajua watamuibia 😂😂😂
 
Back
Top Bottom