Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,943
😂😂😂😂 Wee!! Wote tulikojoa?Tupo wote on bed tuna kula rahaa za dunia😍
😂😂😂😂 Wee!! Wote tulikojoa?Tupo wote on bed tuna kula rahaa za dunia😍
Ndotoni eeh😅😂😂😂😂 Wee!! Ulikojoa sasa??
Uduguu olewa uzae kitoto cha kike ukiite Cute km jina langu jomooonii
Mzalie watoto mapacha mmoja mnipe mimi, fanya haraka uduguu![]()




uduguu emelewa toka asubuhi leo? Nimechekaa had mbavu zinaumaaa, aaaahIla we jamaa kwanini unakuwa hivyo, we Bro sote tunafahamu hapa, sasa huko kuzaa mbona unatuchanganya?Umejuajeee?
Uduguuuu, unaambiwa kunaa jamaa anataka kunioaa na nimzalie watoto wazurii,
Wee huogopiii? Had nakemea hii nyotaa ipunguee.
Uduguu nimeotwa 🤣🤣🤣uduguuu taratibuuu!!!
Jack usinisemeshe vitu vya ajabu nimelewa mwenzio, baadae ntashindwa kufuta 🤣🤣🤣Ndotoni eeh😅
Umelewa? Sio lazima ufute beibe😂Jack usinisemeshe vitu vya ajabu nimelewa mwenzio, baadae ntashindwa kufuta 🤣🤣🤣
Ulijuaje 🤣🤣🤣uduguu emelewa toka asubuhi leo? Nimechekaa had mbavu zinaumaaa, aaaah
Mkavuuu mwenyewee unaandika hata hujistukiii? Khaaaah
Kumekucha 😂😂😂Ila we jamaa kwanini unakuwa hivyo, we Bro sote tunafahamu hapa, sasa huko kuzaa mbona unatuchanganya?
Ngoja ni log out utaniponza 😂😂😂Umelewa? Sio lazima ufute beibe😂
Subiri kwanza, jamaa kanuna sio beibe 😂Ngoja ni log out utaniponza 😂😂😂
Jamaa gani mi niko single bana 😂😂😂Subiri kwanza, jamaa kanuna sio beibe 😂
Babeeee wangu huyooo, ulikua wapii? Maana kujoin mie hapaa nawe ushatuaa, huibiwii bhana, mie mali yakooo.Ila we jamaa kwanini unakuwa hivyo, we Bro sote tunafahamu hapa, sasa huko kuzaa mbona unatuchanganya?






Kwahiyo ikawaje sasa?? Hapa jf unapewa yeyote ushindwe wewe.!! Nikikumbuka nachekaga sana.!! Kwahiyo na wewe kwenye list ya Jack upo?
![]()





Waja hawakosi maneno kabisaaa. WoiiiiiihKama single tuendelee beibe😅Jamaa gani mi niko single bana 😂😂😂
😂😂😂😂Babeeee wangu huyooo, ulikua wapii? Maana kujoin mie hapaa nawe ushatuaa, huibiwii bhana, mie mali yakooo.
Naanzaje kukuacha Tajiriiii?
Em nichapee na helaaa niswampiree weekend!!!
Ulijuaje
Kuna sehemu nipo hapa nalewa afu natype huku nacheka mpk wanataka kunipokonya simu wasome.!!





chiziii weeAcha masihara beibe huyo hayupo kabisa🙄😂😂😂😂 Kwahiyo ikawaje sasa?? Hapa jf unapewa yeyote ushindwe wewe.!! Nikikumbuka nachekaga sana.!! Kwahiyo na wewe kwenye list ya Jack upo? 🤣🤣🤣