Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na yeye kashaanza wivu hataki nijibu watu wanaonikwoti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwambie akitaka mtoto mzuri kama wewe, akaze moyo sana. Wanaokuona ni wengi sana πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Mwambie akitaka mtoto mzuri kama wewe, akaze moyo sana. Wanaokuona ni wengi sana πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Lol!! Nimecheka balaa.
Asije kupandisha kisukari shauri yake
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wee usinambie?? Basi km babe wa Nkamu gwangu simtaki. St Anne mi na yy ndugu
Kuwa na amani, siye wote tulishatoka. Tumekuachia hiyo ni wako, uliyemchagua 🎼🎡🎀
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ JF kichaka chenye wanyama wakali, utashangaa Mbaga id yake nyingine mzee wa totoz
Mm I'd yangu h tangu niijue JF, so kuwa na amani love
Nyie wanaume mnaoniachia wote wakorofi, bora Mbaga Jr hajawahi kuwa na mtu humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nakuwa wa kwanza mwenyewe
Nataka ww ndie uwe wa kwanza kuutumia mwili wangu 😎
 
Bi mkubwa ni Saint Anne ndiyo anamjua juu chini πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wee usinambie?? Basi km babe wa Nkamu gwangu simtaki. St Anne mi na yy ndugu
Ana maneno huyo Jack

Miaka ya nyuma tukaandikiana hadi mashairi humuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mambo yalikuwa motoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Hadi watu wakawa wanauliza kama kweli ni kweli🀣🀣🀣
 
Ana maneno huyo Jack

Miaka ya nyuma tukaandikiana hadi mashairi humuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mambo yalikuwa motoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Hadi watu wakawa wanauliza kama kweli ni kweli🀣🀣🀣
My ex uwe unanitag basi jamni. Kwanza nimekumiss sana😍
 
Back
Top Bottom