Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unalala sana mpk tumechelewa kumjoin Jack
Mmemaliza ugomvi na ba tamu, basi umeikeshea mwenyewe
Umejuajeee?
Uduguuuu, unaambiwa kunaa jamaa anataka kunioaa na nimzalie watoto wazurii,
Wee huogopiii? Had nakemea hii nyotaa ipunguee.
 
We kuweza
Hapa mishangazi yake inanizoom, inajipanga itoke vipi kuja kunikabili

Hello mashangazi Jack wenu yuko safe mi namtania, ila mkileta ngenga namchukua kweli
uduguuu!! Ila JF ina njegekaa.

Kuna siku nilipost picha niko nje Library pale UD, sasa lekcharaaa akasema nae yuko maeneo hayo hayo.

Waja wasisebenzue eti tulikutana na kashi kashi za kushatoooo. Kila nikikumbukaa nachekaa had baas.
 
Umejuajeee?
Uduguuuu, unaambiwa kunaa jamaa anataka kunioaa na nimzalie watoto wazurii,
Wee huogopiii? Had nakemea hii nyotaa ipunguee.
Uduguu olewa uzae kitoto cha kike ukiite Cute km jina langu jomooonii 🥰🥰🥰

Mzalie watoto mapacha mmoja mnipe mimi, fanya haraka uduguu 😍😍
 
Back
Top Bottom