Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mbona mie ndo limezidi, kuachika si ndo nlianza mie, nyie mmefuataaa. Woiiiiih
Nilianza mie umesahau uduguu, niliachika nikarudiwa, ss hivi sijui mara ya ngapi hii naachika mpk nishasahau 😂😂😂😂
 
uduguuu nimechekaa km mwehuu, ba tamu wakati wa kwichi kwichi ananibeba na tunazurura chumbani huku naulilia.

Ila sasa tuwe tumekaa off aninyanyue anajibu wee toka hapa, sasa anashindwa nn? Ba tamu nikiungalia mwili wake ile misuli na mbavu bas mie hoiiiiii,


😂😂😂😂 nguvu zinaondokaga anaona uvivu
Kwenye kwich zile nguvu zinapandishwa na bichwa dogo.!!

Kuna wenzio walijaribu bafuni waliteleza wakadondoka, mwanaume akabaki ameshikilia nyonyo km ngao. Ndio zimemsaidia..!! 🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂 kuna wanaume wanapenda wanawake wakali, wenye gubu. Itakuwa na huyu Mbaga ndiyo walewale... ukoo wa gubu huu
Mm mpole sana, hapa napokaa nna kama miaka 10 ila kuna watu hawanijui wngn wanauliza hv ww una marafiki kwel mbona cjawah kukuona ht unapiga story na mtu 😎
 
Mm mpole sana, hapa napokaa nna kama miaka 10 ila kuna watu hawanijui wngn wanauliza hv ww una marafiki kwel mbona cjawah kukuona ht unapiga story na mtu 😎
Vizuri kumbe unamfaa mdogo wangu Lamomy maana siye huu ukoo ni gubu, tunaachika kila leo bwana shemeji. Karibu familia ya gubu 😄😄😄😄
 
nguvu zinaondokaga anaona uvivu
Kwenye kwich zile nguvu zinapandishwa na bichwa dogo.!!

Kuna wenzio walijaribu bafuni waliteleza wakadondoka, mwanaume akabaki ameshikilia nyonyo km ngao. Ndio zimemsaidia..!!
uduguuu em lala, mwenzio ntakua chiziiii hapaaa.
Khaaaaah
 
😂😂😂😂😂😂 kuna wanaume wanapenda wanawake wakali, wenye gubu. Itakuwa na huyu Mbaga ndiyo walewale... ukoo wa gubu huu
😂😂😂 Kajichoka, halafu kuna siku tulianzia kuna comment nilimjibu shit afu akanijibu kistaarabu mwenyewe mpk drone drake akamshangaa km ni yeye kweli Mbaga?? Basi toka hapo kaniganda. 😂😂😂
Ila Mbaga ni kichaa na mkorofi usimuone hivyo, vijana wa chugga wote bangi nyingi hafu nna mikosi nao humu.!!
 
Back
Top Bottom