Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nyie ba tamu nikimtibua huwa ananipa neno 1 nanywea maji, hapo ntaanza kumchamba yeye had atachukia.

Kuna siku nilijichanganya afu tulikua wote Pa1, nilipewa kelbu ya shavu, nililia ile siku, sikumsamehe had alipooni pooza na ka farangaa.

mapenzi yanataka heka heka.
😂😂😂😂 Mimi muoga wa kupigwa, ila gubu sasa?!!! Kuna muda mpk ananiziba mdomo.
Jamaa mrefu afu anakula tiz, basi nikimzingua ananinyakua km kifaranga 😜

Hapa nimempigia kaniambia umeanza fujo zako ushanimiss soon narudi. Hapa nimejiandaa kuchafuka migift 🥰🥰🥰
Naona hii week haishi haraka, yani km nipeleke masaa mbele 🤣🤣🤣
 
Na mimi natamani ukate tamaa ili usije kuutesa moyo wako, mana nikukaribisha kwenye mahaba yangu utakuwa chizi na utanena kwa lugha. Utaanzisha drama humu nitakuwa sipumui. 😂😂😂
Fungua pm yako plz nkutumie namba yangu afu utaamua mwnyw kunichek au kunipotezea
 
Mimi muoga wa kupigwa, ila gubu sasa?!!! Kuna muda mpk ananiziba mdomo.
Jamaa mrefu afu anakula tiz, basi nikimzingua ananinyakua km kifaranga

Hapa nimempigia kaniambia umeanza fujo zako ushanimiss soon narudi. Hapa nimejiandaa kuchafuka migift
Naona hii week haishi haraka, yani km nipeleke masaa mbele
uduguuu nimechekaa km mwehuu, ba tamu wakati wa kwichi kwichi ananibeba na tunazurura chumbani huku naulilia.

Ila sasa tuwe tumekaa off aninyanyue anajibu wee toka hapa, sasa anashindwa nn? Ba tamu nikiungalia mwili wake ile misuli na mbavu bas mie hoiiiiii,


 
Back
Top Bottom