cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
sawa mahi lavu, lipa namba. Unga wa mbwa umeisha, na dada mwezi huu jukumu lako kumlipa mshahara.!!




nimechekaaa had majirani watajiuliza huyu kaanza uchizii au.sawa mahi lavu, lipa namba. Unga wa mbwa umeisha, na dada mwezi huu jukumu lako kumlipa mshahara.!!




nimechekaaa had majirani watajiuliza huyu kaanza uchizii au.Weeeh.!! Mbona ghafla?? Nawe ushaaga mashindano?? Basi familia yetu tuna gubu![]()






Nyiee mnanichekeshaaa hapaaTena gubu lisilo na tiba mdogo wangu. Tutakaa bia wanaume...





Tuna magubu familia nzima, kasoro wewe tu naona. 😅😅😅😅😅Nyiee mnanichekeshaaa hapaa![]()
😂😂😂😂 Mimi muoga wa kupigwa, ila gubu sasa?!!! Kuna muda mpk ananiziba mdomo.nyie ba tamu nikimtibua huwa ananipa neno 1 nanywea maji, hapo ntaanza kumchamba yeye had atachukia.
Kuna siku nilijichanganya afu tulikua wote Pa1, nilipewa kelbu ya shavu, nililia ile siku, sikumsamehe had alipooni pooza na ka farangaa.
mapenzi yanataka heka heka.
Nimecheka mpk usingizi umekata 😂😂😂uduguuuu jamaniiiii, cpati picha umecheka vipi hapooo, woiiiiiiih
Na mimi natamani ukate tamaa ili usije kuutesa moyo wako, mana nikukaribisha kwenye mahaba yangu utakuwa chizi na utanena kwa lugha. Utaanzisha drama humu nitakuwa sipumui. 😂😂😂Naelekea kukata tamaa 😔
Tuna magubu familia nzima, kasoro wewe tu naona.![]()




mbona mie ndo limezidi, kuachika si ndo nlianza mie, nyie mmefuataaa. Woiiiiih😂😂😂😂😂 Nataka kuja kuchambwa baadae mie!! Huyo namzingua tyuu!!hivi nyie mko serious? Msinichekesheee
😂😂😂😂 Anapewa majukumu madogo madogo km ataweza, ndio tuanze yale ya kausha damu yenyewenimechekaaa had majirani watajiuliza huyu kaanza uchizii au.
Fungua pm yako plz nkutumie namba yangu afu utaamua mwnyw kunichek au kunipotezeaNa mimi natamani ukate tamaa ili usije kuutesa moyo wako, mana nikukaribisha kwenye mahaba yangu utakuwa chizi na utanena kwa lugha. Utaanzisha drama humu nitakuwa sipumui. 😂😂😂
Ukikaa usiku jf ww ni mpweke 😂😂😂
Mimi muoga wa kupigwa, ila gubu sasa?!!! Kuna muda mpk ananiziba mdomo.
Jamaa mrefu afu anakula tiz, basi nikimzingua ananinyakua km kifaranga
Hapa nimempigia kaniambia umeanza fujo zako ushanimiss soon narudi. Hapa nimejiandaa kuchafuka migift
Naona hii week haishi haraka, yani km nipeleke masaa mbele![]()




uduguuu nimechekaa km mwehuu, ba tamu wakati wa kwichi kwichi ananibeba na tunazurura chumbani huku naulilia.







Na mimi natamani ukate tamaa ili usije kuutesa moyo wako, mana nikukaribisha kwenye mahaba yangu utakuwa chizi na utanena kwa lugha. Utaanzisha drama humu nitakuwa sipumui.![]()





khaaaaahMimi naona naongoza 🤣😂😂😂Tuna magubu familia nzima, kasoro wewe tu naona. 😅😅😅😅😅
Nataka kuja kuchambwa baadae mie!! Huyo namzingua tyuu!!





wee hukomiiii tyuuu?Anapewa majukumu madogo madogo km ataweza, ndio tuanze yale ya kausha damu yenyewe





