cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
😂😂😂😂Au mwanagatiii![]()
apite mwenye gubu na chama chetu sasa.!! Utasikia mnajifariji tyuu.!!




uduguuu unanivunjaa mbavu leo, wallah.😂😂😂 ndio uzuri wifi umefundwa ukafundikamwiko huoshwa hautupwi😂😂😂tulia wewe
Naachika mpk nasahau ni mara ngapi 😂😂😂full tafraniiii!!!
Beibeeyyyy 😘💋
Mdogo wangu, why yote yanaanzia kwenye magomvi? Kuna siri gani hapo.😂😂😂 Kajichoka, halafu kuna siku tulianzia kuna comment nilimjibu shit afu akanijibu kistaarabu mwenyewe mpk drone drake akamshangaa km ni yeye kweli Mbaga?? Basi toka hapo kaniganda. 😂😂😂
Ila Mbaga ni kichaa na mkorofi usimuone hivyo, vijana wa chugga wote bangi nyingi hafu nna mikosi nao humu.!!
😂😂😂 Umechoka kuishi kwa amani?Let me in 😎
Kajichoka, halafu kuna siku tulianzia kuna comment nilimjibu shit afu akanijibu kistaarabu mwenyewe mpk drone drake akamshangaa km ni yeye kweli Mbaga?? Basi toka hapo kaniganda.
Ila Mbaga ni kichaa na mkorofi usimuone hivyo, vijana wa chugga wote bangi nyingi hafu nna mikosi nao humu.!!




udugu nina nyota na waparee, yaan najimix nikija kuibuka mpare huyu hapaaa, toka yulee mhayaa aendee. Wapare wananidakaa km nna ubia nao, 




Mfyuuu!! Toka lini? 😂😂😂Mm mpole sana, hapa napokaa nna kama miaka 10 ila kuna watu hawanijui wngn wanauliza hv ww una marafiki kwel mbona cjawah kukuona ht unapiga story na mtu 😎
Mambo ya mahaba 😂😂😂uduguuu em lala, mwenzio ntakua chiziiii hapaaa.
Khaaaaah
Huyu mpole kaniambia shemeji yangu.Wanaanzaga hivyo hivyo baadae wanashusha waraka wa mtume Paulo kwa watu wote wa selfika 😂😂😂😂
Akhu! Sitaki
Na hili baridi sabuni zimemkoma 😂😂😂ana ukamee, nyiee JF akhiii sihamiii
Weee subiri aje uone tutachambwa wapweke crew 😂😂😂uduguuu unanivunjaa mbavu leo, wallah.
Nami nashangaa 😂😂😂😂Mdogo wangu, why yote yanaanzia kwenye magomvi? Kuna siri gani hapo.
Wapare wanapenda hekaheka 😂😂😂udugu nina nyota na waparee, yaan najimix nikija kuibuka mpare huyu hapaaa, toka yulee mhayaa aendee. Wapare wananidakaa km nna ubia nao,
![]()