cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Wanaanzaga hivyo hivyo baadae wanashusha waraka wa mtume Paulo kwa watu wote wa selfika
Akhu! Sitaki





Wanaanzaga hivyo hivyo baadae wanashusha waraka wa mtume Paulo kwa watu wote wa selfika
Akhu! Sitaki





Mm nimeamua kuwa mpole juu yako, ila plz naomba nkutumie namba yangu plz plz plz mamaaMfyuuu!! Toka lini? 😂😂😂
Nishachana talaka mpk nimechoka 😂😂😂
Weee subiri aje uone tutachambwa wapweke crew![]()




uduguuu mie ctakiiii bhanaaa, upweke which? Where? When? AaaaahWapare wanapenda hekaheka
Mimi kina Mangi na watani zao wapare mpk nachoka mitongozo yao huku kitaani




waparee wako sako kwa bako na mie, hawatakii kuniachiaa kabisaaa.Thubutuuu.!! Hata yule alisemaga hivyo hivyo si umeona yaliyotokea?? 😂😂😂😂Huyu mpole kaniambia shemeji yangu.
😂😂😂😂 waraka km wa maaskofu kwa mkataba wa dp world
Wachuga waliokolea kuishi chuga ndio wako hvy, ila sisi wengine tumetoka huko 😔Thubutuuu.!! Hata yule alisemaga hivyo hivyo si umeona yaliyotokea?? 😂😂😂😂
Waniache hao watu wa chugga nipumue
Lazima uende Chuga, wamekupenda sana. Ukavae mashati makubwa, yanayoweza kufunika IST 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Thubutuuu.!! Hata yule alisemaga hivyo hivyo si umeona yaliyotokea?? 😂😂😂😂
Waniache hao watu wa chugga nipumue
waraka km wa maaskofu kwa mkataba wa dp world




leo umekula nn wee? Mbonaa navunjika mbavu, aaaah.Namba yako ina nini? Mimi utajichosha sitokupigia Mbaga 😂Mm nimeamua kuwa mpole juu yako, ila plz naomba nkutumie namba yangu plz plz plz mamaa
Lazima uende Chuga, wamekupenda sana. Ukavae mashati makubwa, yanayoweza kufunika IST![]()





😂😂😂😂 huu wa kushinda jf usikuuduguuu mie ctakiiii bhanaaa, upweke which? Where? When? Aaaaah
Haina shida ht usiponipigiaNamba yako ina nini? Mimi utajichosha sitokupigia Mbaga 😂
Ww kigagula naona upo upo tuu
😂😂😂😂😂 una kitu adimu uduguu, na ulivyo fundi sasa kwenye uwanja wa fundi seremala wohiiiwaparee wako sako kwa bako na mie, hawatakii kuniachiaa kabisaaa.
Bro unakubali vipi kupigwa kizembe?nyie ba tamu nikimtibua huwa ananipa neno 1 nanywea maji, hapo ntaanza kumchamba yeye had atachukia.
Kuna siku nilijichanganya afu tulikua wote Pa1, nilipewa kelbu ya shavu, nililia ile siku, sikumsamehe had alipooni pooza na ka farangaa.
mapenzi yanataka heka heka.