Selfika na JF: Snap it. Show it

Sio wa kishua, ila wakaka wa Dar ni wachafu bhana, hizo boxer rangi had inaomba pooo, afu wanaweka mlegezoo. Harufuu kunukaa fuuuuu!!!

Wanakeraaa sanaa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Za mbagala nipo

Harufu samaki si samaki panya si panya
mie nilipanda za Gomz, sasa kuna mkaka alisimama pembeni yangu, afu kaweka mlegezo, boxer linaonekanaa lichafuu hilo balaaa, harufu yake sasa afu yeye yuko mkavuu hata hastukiii.

Aliniboaa balaa yule kaka, mxxxxiiiiieeeew zake.
 
Wee huyo dr mbona ana balaa uduguu.!! Anataka njegeka la kidampa atawezana nalo kweli?? Au anataka kutelekeza familia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jiachie uduguu wangu weeeh.!! Ba tamu mwambie akae kwa kutulia kwanza 🀣
 
Jeshi la police lipo makini na huu uchochezi unataka kufanya
Unazunguka sana bana km sio mjanja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo mtoto mwenyewe kakuelewa basi tyuu unazingua, unapewa pasi unashindwa kuweka wavuni..!! Winga namna gani?!! πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…