Selfika na JF: Snap it. Show it

we binti umetumwa sio bure😂😂😂
 
uduguu nina heka heka mie, ni vilee nafanya ujinga kwa akili afu naangalia mazingira, nikiwa pekee angu mambo nayofanyaa hadi najiuliza kichwani nimeweka akili au udongo wa mfinyanziii.

kuna Dr mwenye masters yake, yuko hapo Moro hospital ya mkoa, kaanza kunifatilia tangu niko 4m 5, mie namkataaa, haendani na mie kabisaa, naogopaa kumpa manjegeka yanguu.

Nikijiangalia u kichwa maji wangu, huyu kaka ataua wagonjwa wa watu buree kwa stress nitakazompaa,



Hatareeeee!!!
 
Jeshi la police lipo makini na huu uchochezi unataka kufanya
 
Mwanangu anakupenda ukiwa mnene.
Wewe unataka upungue ili iweje labda?

Achana na wakina engineer coca vimbau mbau hao.
 
Hali ya hewa hii wakaka badilisheni boxer kila siku na muoge!
Nipo kwenye gari watu nyomii nimeegemewa na wakaka hiyo harufu hadi mbavu zinanibana
Mkwe Una matatizo yako Acha kusingizia. Pole kuna dawa ya kuzuia kifua kisibane. Nitakuelekeza badae
 
Mwanangu anakupenda ukiwa mnene.
Wewe unataka upungue ili iweje labda?

Achana na wakina engineer coca vimbau mbau hao.
Mkwe sipungui ng'oo ila natAka kupunguza kitambi ili nikisimama mwanao amuone rafiki yake vizuri sababu sasa hivi kumuona hadi achuchumae achungulie
 
Mkwe sipungui ng'oo ila natAka kupunguza kitambi ili nikisimama mwanao amuone rafiki yake vizuri sababu sasa hivi kumuona hadi achuchumae achungulie
Hicho kitambi ndio saafi, mwanangu nayeye awe na kitambi mnapendeza.

Mwambie cocastic akuelekeze style ya Ku duuu ukiwa na kitambi
 
Hali ya hewa hii wakaka badilisheni boxer kila siku na muoge!
Nipo kwenye gari watu nyomii nimeegemewa na wakaka hiyo harufu hadi mbavu zinanibana
dala dala za wapiiii? Jamani za Gomz au mbagala wakaka ni wachafu na wananukaa balaaa.

Nilijuta ile siku, sitakii tenaa irudiee, woiiiiiij
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…