min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 47,290
- 130,539
Kipi kikuchekeshacho mama mchunga?🤣🤣🤣🏃🏃🏃
Kipi kikuchekeshacho mama mchunga?🤣🤣🤣🏃🏃🏃
Siwezi kujikataa jinsi nilivyo! Anayenichukulia poa hiyo ni juu yake uzuri sikosi mchumbaTuma picha yako bhna ,unajua kuna wana naona wanakuchukulia poa poa tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeona pichayako nimecheka kichizi hahahahahaaaaaaaaaNikajua tayari umeshanipenda
Sasa naona nimeanza kuitwa mchumba najivunia kwa hilo kwa kweli😊😊😊Siwezi kujikataa jinsi nilivyo! Anayenichukulia poa hiyo ni juu yake uzuri sikosi mchumba
Maisha ni mafupi tufurahiii😂🤸🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeona pichayako nimecheka kichizi hahahahahaaaaaaaaa
Jidanganye 😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeona pichayako nimecheka kichizi hahahahahaaaaaaaaa
achakufakamia viporo utapasuka mwili🤣🤣🤣🤣🤣🤣Siwezi kujikataa jinsi nilivyo! Anayenichukulia poa hiyo ni juu yake uzuri sikosi mchumba
mwashamba ataliweza hilozigo kweli🤣🤣🤣Maisha ni mafupi tufurahiii😂🤸
😂Na mwili wangu huo lakini juzi nilikua natembea na mchumba angu, nyuma kuna mzee akamwita mchumba angu akamwambia 'Aisee unakojolea pazurii'achakufakamia viporo utapasuka mwili🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nijidanganye nanini mkuu?Jidanganye 😁
acha uongo kusimama kwenyewe hapo huwezi umeshikilia ukuta utaweza kutembea barabarani kweli?🤣🤣😂Na mwili wangu huo lakini juzi nilikua natembea na mchumba angu, nyuma kuna mzee akamwita mchumba angu akamwambia 'Aisee unakojolea pazurii'
Mchumba angu bichwa hilooo! We huogopii?🤸😂
😁nijidanganye nanini mkuu?
Acha nifurahi tu nipunguze mawazoKipi kikuchekeshacho mama mchunga?
Mrembooo wetuu,







Mawazo ya nini tena rafiki?Acha nifurahi tu nipunguze mawazo
Na mwili wangu huo lakini juzi nilikua natembea na mchumba angu, nyuma kuna mzee akamwita mchumba angu akamwambia 'Aisee unakojolea pazurii'
Mchumba angu bichwa hilooo! We huogopii?![]()




jamaniiiiiii khaaaah
Haya ndio mambo sasa!Mrembooo wetuu,
Hiyo trauzaa nimeipendaaaa sanaa
Uko![]()
Tangu nimzike mama yangu wiki 3 zilizopita siko vzr rafikiMawazo ya nini tena rafiki?
Kumbe nawe hujui kama Babu yako hapa 🤗Mie mshamba wa kijijini nitajulia wapi mambo ya daslam huko?😬