The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Jf ina wakaka smart sana, natamani nione chini umevaa kiatu gani 😀
Jf ina wakaka smart sana, natamani nione chini umevaa kiatu gani 😀
Usijali, ntashona mpyaa maalum Kwa Hilo tukio kabambe.Tajiri! Hii suti naomba uvae siku ya harusi yangu
😂😂😂😂 Ukoo wa Mbilinyi siwataki, labda wa kina Ngailo, Ntulo, Msigwa na Tweve kidogoooo.!! Kina Mahenge nao siwatakiiiiUkiendelea hivi utafanya Wazee tupokee hata ile nusu mahari iliyoletwa na Kijana wa Mzee Mbilinyi, maana haufai hakiyanani 😜
Huyu bila shaka ni mtunisha misuli, maana sio Kwa mikono hiyo aisee 🙌
😂😂😂😂 huu ujinga unautoa wapi??
Asante tajiri kwa heshima hiyoUsijali, ntashona mpyaa maalum Kwa Hilo tukio kabambe.
Hatari kiatu kiko 👌
Ebhanaeeeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥Subiri niwekeView attachment 3020073
Hahaha........Mkinga na Mangi hapo mtoto lazima azaliwe genius 🤗😂😂😂😂 Ukoo wa Mbilinyi siwataki, labda wa kina Ngailo, Ntulo, Msigwa na Tweve kidogoooo.!! Kina Mahenge nao siwatakiiii
Halafu babu mimi nawapenda kina Mangi mwenzio 🤣🤣🤣
Nikipungua lazima nikuzingatie! Wewe ndiye unanipa moyo since day one😂Ebhanaeeeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥
Huyu bila shaka ni mtunisha misuli, maana sio Kwa mikono hiyo aisee![]()



babuu huyu ni mie, kwan umenisahau mjukuu wako mara hii?😂😂😂😂 tupia nyingine wakasarike vizuriHapo sasa![]()
Chuchu sio lazima zisimame ziwe saa sita Mungu angetaka hvo angewekea mifupaEm nawe kwenda, huoni mtoto chuchu saa 6 🤣🤣🤣
huu ujinga unautoa wapi??



nyie ba tamu ninae, na natambaa nae.




🤣🤣🤣🤣 Subiri kwanza muoaji apatikane, kuna Mangi mmoja mkusanya ushuru namsikiliziaHahaha........Mkinga na Mangi hapo mtoto lazima azaliwe genius 🤗
Wazee tunasubiri Wajukuu tu 😜
tupia nyingine wakasarike vizuri



nakujaaa nayoo nikiwa nimelipukaaa.😂😂😂 tamba tamba uduguu muda wako huu.!! Hii ba tamu ndio ilikuponza ukaachika na boss 🤣nyie ba tamu ninae, na natambaa nae.
Mie na Ba tamu tukilala kitandani, PhD ya ME iko paleee.
Wee huogopiiii? Afu nisiwe jeuri? Wee kuwezaaa?![]()
Mimi nataka nikuzingatie hivyo hivyo wembamba nitaukuta mbele huko 😄Nikipungua lazima nikuzingatie! Wewe ndiye unanipa moyo since day one😂
Hongera Mjukuu, kusema kweli ulipendeza sana kwenye huo mtoko 🤗babuu huyu ni mie, kwan umenisahau mjukuu wako mara hii?