Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jf ina wakaka smart sana, natamani nione chini umevaa kiatu gani 😀
Screenshot_2024-06-18-17-20-54-17_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg
 
Ukiendelea hivi utafanya Wazee tupokee hata ile nusu mahari iliyoletwa na Kijana wa Mzee Mbilinyi, maana haufai hakiyanani 😜
😂😂😂😂 Ukoo wa Mbilinyi siwataki, labda wa kina Ngailo, Ntulo, Msigwa na Tweve kidogoooo.!! Kina Mahenge nao siwatakiiii
Halafu babu mimi nawapenda kina Mangi mwenzio 🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂 Ukoo wa Mbilinyi siwataki, labda wa kina Ngailo, Ntulo, Msigwa na Tweve kidogoooo.!! Kina Mahenge nao siwatakiiii
Halafu babu mimi nawapenda kina Mangi mwenzio 🤣🤣🤣
Hahaha........Mkinga na Mangi hapo mtoto lazima azaliwe genius 🤗

Wazee tunasubiri Wajukuu tu 😜
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ujinga unautoa wapi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie ba tamu ninae, na natambaa nae.

Mie na Ba tamu tukilala kitandani, PhD ya ME iko paleee.

Wee huogopiiii? Afu nisiwe jeuri? Wee kuwezaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie ba tamu ninae, na natambaa nae.

Mie na Ba tamu tukilala kitandani, PhD ya ME iko paleee.

Wee huogopiiii? Afu nisiwe jeuri? Wee kuwezaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 tamba tamba uduguu muda wako huu.!! Hii ba tamu ndio ilikuponza ukaachika na boss 🤣
 
Back
Top Bottom