Selfika na JF: Snap it. Show it

following...πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…
Wazee wenzetu akina Ben Mkapa, Mzee Mwinyi waliandika historia ya maisha yao kwenye Vitabu, sisi wengine ndiyo tunawasimulia nyie Wajukuu ili mtusaidie kutuandikia.

Babu yenu nimekula chumvi nyingi mjue 😜
 
Wazee wenzetu akina Ben Mkapa, Mzee Mwinyi waliandika historia ya maisha yao kwenye Vitabu, sisi wengine ndiyo tunawasimulia nyie Wajukuu ili mtusaidie kutuandikia.

Babu yenu nimekula chumvi nyingi mjue 😜
🀣🀣
 
We nawe kichwa kizito unakosea masharti🀣
 
Hahaha..........ila nashukuru Wazee kunikatalia kumuoa yule Binti, vinginevyo Kwa ule utundu wake ningeuza assets zote za familia kwaajili yakeπŸ€—πŸ™Œ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ babuuu mkali wa hizi kazi!! Yani babu unawapatia wajukuu zako humu jf. Huna bayaaa
Nikizaa mtoto wa kiume nataka akiwa mkubwa awe km wewe 🀣🀣
 
We nawe kichwa kizito unakosea masharti🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Itakuwa kichwa cha kaka ako ndo kigumu, mbona mi nimefanya km ulivyosema?? Nimegundua ndugu wa mume hamnipendi 🀣
 
babuuu mkali wa hizi kazi!! Yani babu unawapatia wajukuu zako humu jf. Huna bayaaa
Nikizaa mtoto wa kiume nataka akiwa mkubwa awe km wewe
nimecheka had nimetema mate kwa lazimaa.
Una nn wee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…