Selfika na JF: Snap it. Show it

Makoroboi hawawezi kuweka lidude kutisha hivo.

Niko poa kabisa babu
Hahaha.................utasema hajalilipa mshahara Kwa miezi 6 hivyo limeamua kumvimbia boss wake πŸ˜‚

Uje tunywe kahawa hapa the Cask Mjukuu πŸ€— 😜
 
Hahaha.................utasema hajalilipa mshahara Kwa miezi 6 hivyo limeamua kumvimbia boss wake πŸ˜‚

Uje tunywe kahawa hapa the Cask Mjukuu πŸ€— 😜
Yani Hilo limdoli komesha ya wizi na wadokozi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Asante sana babu kwa kahawa.
 
Yani Hilo limdoli komesha ya wizi na wadokozi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Asante sana babu kwa kahawa.
Mwizi kabla hajaiba anakutana na mdoli linamwangalia Kwa Sura hiyo lazima ahairishe kuiba πŸ˜‚

Kahawa huwa haikataliwi Mjukuu isipokuwa beer 😜
 
Mwizi kabla hajaiba anakutana na mdoli linamwangalia Kwa Sura hiyo lazima ahairishe kuiba πŸ˜‚

Kahawa huwa haikataliwi Mjukuu isipokuwa beer 😜
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sura ya ki zombie, alfu litiwe mi make up kama midamu damu eeeeh mwizi lazima adate

Asante sana babu mim nishazoea soda zile Fanta orange siunajua tena sie watoto.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sura ya ki zombie, alfu litiwe ni make up kama midamu damu eeeeh mwizi lazima date

Asante sana babu mim nishazoea soda zile Fanta orange siunajua tena sie watoto.
Hatari sana πŸ˜‚

Haya uje unywe hizo soda za watoto wakati tunasubiria mahubiri yaanze hapa uwanja wa Kirumba πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…