Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hunaaaa [emoji1787]
Hebu ngoja nikale pizza, Shem mpitie coca tukutane Pizza Hut
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila uduguu wee mchokoziiii, kwann unataka sana maugomvi? Si utuliee bas nawee, khaaaah
 
Jamanii wee 100 acha fix, sa hapo kwa picha ni wapi? Em sema kwelii.
😂😂😂😂 halafu uduguu ile lugha yetu ya kinyume nyume si nimeikuta kwa mh Lema insta, alituchabo humu nini??
 
Lodge kumtibu mgonjwa
IMG_20240519_110337.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu uduguu ile lugha yetu ya kinyume nyume si nimeikuta kwa mh Lema insta, alituchabo humu nini??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie kuna vijimaneno vyangu nilivikuta kwenye tamthilia ya lawama, nilichokaaa.

Wana chabo km kauwaaaa!!!!
 
Back
Top Bottom