Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.
 
Ww kunipiga mimi bado, wamenishindwa wenzio ww utaniweza?? We huogopi??
Hii selfika nnayo na natamba nayo, bila amsha zangu uzi unapoa.
Yani nipo na bado nitakuwepo, mi ndo head girl wao humu..
Unataka ndio, hutaki ndio hivyo.!!

Kula pilau la idd utulie
 
We nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.
Sasa biriani lako linakuzuia nini kuliweka?? 😂😂😂😂
Ila jf mna vituko sana
 
Back
Top Bottom