Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,174
- 10,445
Shem ujue kusoma code. Ngoja aniegemee kifuani hapaKwahiyo imekuwaje sasa?? Mi nasubiri mjukuu mjue 😂😂😂😂
Shem ujue kusoma code. Ngoja aniegemee kifuani hapaKwahiyo imekuwaje sasa?? Mi nasubiri mjukuu mjue 😂😂😂😂
Walikua watatu ukawakimbiza, wenzie wapo wapi siku hizi? Huyu ndio peke yake kakosa soko




khaaaahWe nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.





Ulimtongoza hafu huku kumbe unamponda![]()
Yani we kweli jinga




nani amesemaa?We maamuma. Achana na haya mambo. Umekosa kupiga cha mtume nini leo? Leo ni sikukuu, acheni ujinga wenu.





Battle lenyewe halinogi anamix mambo haeleweki sijui kavimbiwa pilau![]()





Umefanana na zile picha anazotupiaga Mwachi 🤣🤣🤣
Haya shemShem ujue kusoma code. Ngoja aniegemee kifuani hapa
Ww kunipiga mimi bado, wamenishindwa wenzio ww utaniweza?? We huogopi??
Hii selfika nnayo na natamba nayo, bila amsha zangu uzi unapoa.
Yani nipo na bado nitakuwepo, mi ndo head girl wao humu..
Unataka ndio, hutaki ndio hivyo.!!
Kula pilau la idd utulie






Poa. BaadaeHaya shem
Ok..Umefanana na zile picha anazotupiaga Mwachi 🤣🤣🤣
Weka hata ya ku download...Umefanana na zile picha anazotupiaga Mwachi 🤣🤣🤣
Handsome!!
Sasa mimi shangazi nae mgonga sio mkubwa a hivo coca 😂 😂 😂Eeeeh chanikaa ndiyoo,![]()
Umefanana na zile picha anazotupiaga Mwachi![]()



huu utani wa ngumii wallah.Wee kwendraaa huko, akati tukunyema huyo ana afadhariiiiSasa mimi shangazi nae mgonga sio mkubwa a hivo coca![]()
![]()
![]()






Sasa biriani lako linakuzuia nini kuliweka?? 😂😂😂😂We nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.
Hujamalizia hapo nina pesa...Handsome!!
Dark skini
Muscular
Ila umekosaa u tall, sasa kwann unakua mgomvii? Hufananiii ujue.