Selfika na JF: Snap it. Show it

Babu mi napenda vitu vya kijinga km zawadi ujue 😜
E’m ning’ate sikio
Omba kwanza ruhusa kwa Mkwe wangu ndiyo uje nikung'ate sikio πŸ€—

Si unajua tangu asubuhi nipo ndani peke yangu tangu Bibi yako aende shambani 😜
 
Omba kwanza ruhusa kwa Mkwe wangu ndiyo uje nikung'ate sikio πŸ€—

Si unajua tangu asubuhi nipo ndani peke yangu tangu Bibi yako aende shambani 😜
Sina, nimeachika babu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Talaka tatu niko eda
 
Sina, nimeachika babu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Talaka tatu niko eda
Mbona ghafla hivyo Mjukuu πŸ€—

Na bahati mbaya hujawahi kufundishwa kuhusu mafiga matatu πŸ™Œ

Njoo tu Kwa Babu yako nikufariji wakati tunasubiria Posa nyingine Kwa Kijana wa Mzee Sanga 😜
 
Mbona ghafla hivyo Mjukuu πŸ€—

Na bahati mbaya hujawahi kufundishwa kuhusu mafiga matatu πŸ™Œ

Njoo tu Kwa Babu yako nikufariji wakati tunasubiria Posa nyingine Kwa Kijana wa Mzee Sanga 😜
🀣🀣🀣 Itabidi unitafutie kungwi anifundishe mafiga matatu ili nikiachika huku, nabaki na wa kule.!! πŸ˜‚

Mzee Sanga anahujumiwa sana na binti yake.!! Nakuja babu unihadithie hadithi za sungura na fisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…