Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Jun 16, 2024 #384,801 Lamomy said: Babu mi napenda vitu vya kijinga km zawadi ujue π Eβm ningβate sikio Click to expand... Omba kwanza ruhusa kwa Mkwe wangu ndiyo uje nikung'ate sikio π€ Si unajua tangu asubuhi nipo ndani peke yangu tangu Bibi yako aende shambani π
Lamomy said: Babu mi napenda vitu vya kijinga km zawadi ujue π Eβm ningβate sikio Click to expand... Omba kwanza ruhusa kwa Mkwe wangu ndiyo uje nikung'ate sikio π€ Si unajua tangu asubuhi nipo ndani peke yangu tangu Bibi yako aende shambani π
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,098 Jun 16, 2024 #384,802 Grahams said: Omba kwanza ruhusa kwa Mkwe wangu ndiyo uje nikung'ate sikio π€ Si unajua tangu asubuhi nipo ndani peke yangu tangu Bibi yako aende shambani π Click to expand... Sina, nimeachika babu πππ Talaka tatu niko eda
Grahams said: Omba kwanza ruhusa kwa Mkwe wangu ndiyo uje nikung'ate sikio π€ Si unajua tangu asubuhi nipo ndani peke yangu tangu Bibi yako aende shambani π Click to expand... Sina, nimeachika babu πππ Talaka tatu niko eda
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Jun 16, 2024 #384,803 Lamomy said: Sina, nimeachika babu πππ Talaka tatu niko eda Click to expand... Mbona ghafla hivyo Mjukuu π€ Na bahati mbaya hujawahi kufundishwa kuhusu mafiga matatu π Njoo tu Kwa Babu yako nikufariji wakati tunasubiria Posa nyingine Kwa Kijana wa Mzee Sanga π
Lamomy said: Sina, nimeachika babu πππ Talaka tatu niko eda Click to expand... Mbona ghafla hivyo Mjukuu π€ Na bahati mbaya hujawahi kufundishwa kuhusu mafiga matatu π Njoo tu Kwa Babu yako nikufariji wakati tunasubiria Posa nyingine Kwa Kijana wa Mzee Sanga π
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,098 Jun 16, 2024 #384,804 Grahams said: Mbona ghafla hivyo Mjukuu π€ Na bahati mbaya hujawahi kufundishwa kuhusu mafiga matatu π Njoo tu Kwa Babu yako nikufariji wakati tunasubiria Posa nyingine Kwa Kijana wa Mzee Sanga π Click to expand... π€£π€£π€£ Itabidi unitafutie kungwi anifundishe mafiga matatu ili nikiachika huku, nabaki na wa kule.!! π Mzee Sanga anahujumiwa sana na binti yake.!! Nakuja babu unihadithie hadithi za sungura na fisi.
Grahams said: Mbona ghafla hivyo Mjukuu π€ Na bahati mbaya hujawahi kufundishwa kuhusu mafiga matatu π Njoo tu Kwa Babu yako nikufariji wakati tunasubiria Posa nyingine Kwa Kijana wa Mzee Sanga π Click to expand... π€£π€£π€£ Itabidi unitafutie kungwi anifundishe mafiga matatu ili nikiachika huku, nabaki na wa kule.!! π Mzee Sanga anahujumiwa sana na binti yake.!! Nakuja babu unihadithie hadithi za sungura na fisi.
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jun 16, 2024 #384,805 sumbai said: Hahaha wewe ndio ujibu swali Hilo... Umempeleka wapi mrembo wetu?? Bantu Lady Click to expand... Vijana wa hall 5 hamfai Usije ukawa umemuamishia Bantu Lady kwenye uzi wenu wa kulana kimasihara kule
sumbai said: Hahaha wewe ndio ujibu swali Hilo... Umempeleka wapi mrembo wetu?? Bantu Lady Click to expand... Vijana wa hall 5 hamfai Usije ukawa umemuamishia Bantu Lady kwenye uzi wenu wa kulana kimasihara kule
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jun 16, 2024 #384,806 Kapachino said: Vijana wa hall 5 hamfai Usije ukawa umemuamishia Bantu Lady kwenye uzi wenu wa kulana kimasihara kule Click to expand... Ule Uzi siku hiZi simuoni kabisaa sijui upo wapi?? Au vijana wameacha kutafunana kimasikhara??
Kapachino said: Vijana wa hall 5 hamfai Usije ukawa umemuamishia Bantu Lady kwenye uzi wenu wa kulana kimasihara kule Click to expand... Ule Uzi siku hiZi simuoni kabisaa sijui upo wapi?? Au vijana wameacha kutafunana kimasikhara??
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jun 16, 2024 #384,807 sumbai said: Ule Uzi siku hiZi simuoni kabisaa sijui upo wapi?? Au vijana wameacha kutafunana kimasikhara?? Click to expand... au mme hamia telegram kule kwa kina linda
sumbai said: Ule Uzi siku hiZi simuoni kabisaa sijui upo wapi?? Au vijana wameacha kutafunana kimasikhara?? Click to expand... au mme hamia telegram kule kwa kina linda
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jun 16, 2024 #384,808 Kapachino said: au mme hamia telegram kule kwa kina linda Click to expand... πππππππ Mahondaw yupo wapi?? Mtoto wakihaya
Kapachino said: au mme hamia telegram kule kwa kina linda Click to expand... πππππππ Mahondaw yupo wapi?? Mtoto wakihaya
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jun 16, 2024 #384,809 sumbai said: πππππππ Mahondaw yupo wapi?? Mtoto wakihaya Click to expand... Mnywani Mahondaw umejificha wapi ati. Mzee wa hall 5 kamiss neema za allah
sumbai said: πππππππ Mahondaw yupo wapi?? Mtoto wakihaya Click to expand... Mnywani Mahondaw umejificha wapi ati. Mzee wa hall 5 kamiss neema za allah
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Jun 16, 2024 #384,810 Kapachino said: Mnywani Mahondaw umejificha wapi ati. Mzee wa hall 5 kamiss neema za allah Click to expand... Za masiku mingi mnywaniiiiiii! Samalekoooo ππ!
Kapachino said: Mnywani Mahondaw umejificha wapi ati. Mzee wa hall 5 kamiss neema za allah Click to expand... Za masiku mingi mnywaniiiiiii! Samalekoooo ππ!
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Jun 16, 2024 #384,811 Smart911 love tumsifu Yesu kristo!πππ
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Jun 16, 2024 #384,812 sumbai said: πππππππ Mahondaw yupo wapi?? Mtoto wakihaya Click to expand... Here furruuuuuuuuu ,πππππmzee wa Hall V kwema????? Za kupotea?? Karibu sana asee nafurahi kukuona tena selfika
sumbai said: πππππππ Mahondaw yupo wapi?? Mtoto wakihaya Click to expand... Here furruuuuuuuuu ,πππππmzee wa Hall V kwema????? Za kupotea?? Karibu sana asee nafurahi kukuona tena selfika
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jun 16, 2024 #384,813 Mahondaw said: Here furruuuuuuuuu ,πππππmzee wa Hall V kwema????? Za kupotea?? Karibu sana asee nafurahi kukuona tena selfika Click to expand... Happy to see you again. Nilikuwa porini huko network ya shida. Sio Kama Chino alikuwa amefichwa na Yule maini utumbo figo Kapachino
Mahondaw said: Here furruuuuuuuuu ,πππππmzee wa Hall V kwema????? Za kupotea?? Karibu sana asee nafurahi kukuona tena selfika Click to expand... Happy to see you again. Nilikuwa porini huko network ya shida. Sio Kama Chino alikuwa amefichwa na Yule maini utumbo figo Kapachino
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Jun 16, 2024 #384,814 sumbai said: Happy to see you again. Nilikuwa porini huko network ya shida. Sio Kama Chino alikuwa amefichwa na Yule maini utumbo figo Kapachino Click to expand... Weee kumbe! Safi sana mwanaume kupambana. Haha hapana chezea Ini ni noumaaa narobotatu!
sumbai said: Happy to see you again. Nilikuwa porini huko network ya shida. Sio Kama Chino alikuwa amefichwa na Yule maini utumbo figo Kapachino Click to expand... Weee kumbe! Safi sana mwanaume kupambana. Haha hapana chezea Ini ni noumaaa narobotatu!
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jun 16, 2024 #384,815 Mahondaw said: Weee kumbe! Safi sana mwanaume kupambana. Haha hapana chezea Ini ni noumaaa narobotatu! Click to expand... Msalimie Bantu Lady ukimuona. Mwambie Nina ujumbe wake kuna aliyenituma
Mahondaw said: Weee kumbe! Safi sana mwanaume kupambana. Haha hapana chezea Ini ni noumaaa narobotatu! Click to expand... Msalimie Bantu Lady ukimuona. Mwambie Nina ujumbe wake kuna aliyenituma
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Jun 16, 2024 #384,816 sumbai said: Msalimie Bantu Lady ukimuona. Mwambie Nina ujumbe wake kuna aliyenituma Click to expand... Zimefikaaaaaaaa
sumbai said: Msalimie Bantu Lady ukimuona. Mwambie Nina ujumbe wake kuna aliyenituma Click to expand... Zimefikaaaaaaaa
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 9,871 Reaction score 32,691 Jun 16, 2024 #384,817 sumbai said: Msalimie Bantu Lady ukimuona. Mwambie Nina ujumbe wake kuna aliyenituma Click to expand... Umekuwa njiwa siku hizi, mzee wa Hall 5 πππππ
sumbai said: Msalimie Bantu Lady ukimuona. Mwambie Nina ujumbe wake kuna aliyenituma Click to expand... Umekuwa njiwa siku hizi, mzee wa Hall 5 πππππ
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 16, 2024 #384,818 Carasco Putin said: Uhakika njoo tupige pesa Click to expand... Nakujaa chaap
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 16, 2024 #384,819 Lamomy said: Unapenda hekaheka Click to expand... Sanaaa
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 16, 2024 #384,820 Lamomy said: Na wangu yupo khaaaa!! Sa itakuwaje? Kivumbi hiki Click to expand... Hii imeendaaa