Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ba tamuu, huku uraiani, yaan mtu kajichanganyaa, nataka nimlipue ba tamu kani cancel, nimefuraa balaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ punguza hekaheka uduguu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie bibi kanifundisha had kupika pombe za kienyejiii,

Natoa ubaga wa kwendaaa, pombe ikichujwaa, walevi wanalandukaaa tyuuu, inanogaa lyolyolyoo.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie bibi kanifundisha had kupika pombe za kienyejiii,

Natoa ubaga wa kwendaaa, pombe ikichujwaa, walevi wanalandukaaa tyuuu, inanogaa lyolyolyoo.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
alijua ukikwama life utapika uuze hapo baadae ukiwa bibiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Togwaa upate ile kutumia mihogo, ndo tamuu km sodaa, ila kutumia mahindi na ulezi ni chunguu balaaa na inaleweshaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sasa m ya mahindi ndo nimewahi kuinywa mbona niliona tamu sana
 
Back
Top Bottom