Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

ulanzi unakunywa mtogwa au ule mkangafum napenda mtogwa mtamu kama fanta pineapple
Togwaa upate ile kutumia mihogo, ndo tamuu km sodaa, ila kutumia mahindi na ulezi ni chunguu balaaa na inaleweshaa.
 
wakunyumbaaa!!!

Ila kwetu kuna pombe za kienyeji balaaa, afu sasa sio watoto wala wakubwa ni kulandukaaa tyuuu.

Mie kwenye Ulanzi hunitoi, namaliza Sado 2 fyaaaa. Nikitoka hapo ni mwendo wa kudance,
Kuna ulaka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
nyie bibi kanifundisha had kupika pombe za kienyejiii,

Natoa ubaga wa kwendaaa, pombe ikichujwaa, walevi wanalandukaaa tyuuu, inanogaa lyolyolyoo..
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nipe recipe ya wanzuki
 
Back
Top Bottom