cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,420
- 188,162
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amesha graduate toka mwaka jana. Au intake ya last yr usha wasahau wote?Nikimjua nampa supp
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amesha graduate toka mwaka jana. Au intake ya last yr usha wasahau wote?Nikimjua nampa supp
Age go huyo, aache kucheza km anashangilia Euro.!! 😂😂😂😂Muda wa disco huu
Togwaa upate ile kutumia mihogo, ndo tamuu km sodaa, ila kutumia mahindi na ulezi ni chunguu balaaa na inaleweshaa.ulanzi unakunywa mtogwa au ule mkangafu[emoji23][emoji23][emoji23]m napenda mtogwa mtamu kama fanta pineapple
Kuna ulaka 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakunyumbaaa!!!
Ila kwetu kuna pombe za kienyeji balaaa, afu sasa sio watoto wala wakubwa ni kulandukaaa tyuuu.
Mie kwenye Ulanzi hunitoi, namaliza Sado 2 fyaaaa. Nikitoka hapo ni mwendo wa kudance, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nani?? 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzenu, leo nimekatazwa kumcharua mtu, hapa nimefuraa kwa hasiraa hatariiii.
😂😂😂😂Trokaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na miutundu wanayo wale, nishawahi chungulia nyago Lao 😂😂😂😂Ni dawa ndio zinakamata si kwamba wapo vizuri kivile😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahAnaacha kulinda mali anajizima data, halafu atakuwa chalii wa chuga ndio cheza zao hizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 napiga cocktailUtakua na wazimu wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkono wa mtu uko serious weeeh!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Age go huyo, aache kucheza km anashangilia Euro.!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mikono inatakiwa itulie kiunoni kwa manzi huyo. Au kanywa serengeti kaanza michezo ya chui
Basi pombe za kienyeji huzijui wewe 😂😂😂Ndo nn hiko nawee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ulaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili jina kwetu halipo, kurusi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi pombe za kienyeji huzijui wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 nipe recipe ya wanzuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie bibi kanifundisha had kupika pombe za kienyejiii,
Natoa ubaga wa kwendaaa, pombe ikichujwaa, walevi wanalandukaaa tyuuu, inanogaa lyolyolyoo.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatariiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napiga cocktail
😂😂😂😂Mimi ndie Mwanamke pekee Jf sina rafiki pm wala group nje ya Jf hutaki basi🤨
Fanya Ivo mchuchuBasi pombe za kienyeji huzijui wewe 😂😂😂
Ba tamuu, huku uraiani, yaan mtu kajichanganyaa, nataka nimlipue ba tamu kani cancel, nimefuraa balaaaaNa nani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah