Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Kwa kweli wamakonde wapewe mauwa yao,unakuta kafunga mzigo wa kuni kiunoni mi moja tu imenishindwa na nashukuru mwenzangu aligoma siku ileile aliikata.😂😂😂 Mi kuna mmama aliniletea moja kali ila toka niote usiku mtu anaichezea kiunoni na nimelala peke yangu SIVAI

