Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chiziii wee, sahivi niko makini ktk kutunza tamu ya ba tamu, sitaki makolezo ya kiwakiiii.

Ukute had mishipa ya uti wa mgongo ina stuck, wee kuwezaa?
😂😂😂 la kienyeji lenyewe halina mambo mengi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo nimemuonesha ba tamu nikiwa napiga ulanzi ukiwa kwenye Robo, anajibu "unakunywa matapu tapu?"

Hivi hajui ulanzi utamu wake, wee
😂😂😂😂😂 mbege namix na wine basi mizuka inapanda
 
ulanzi unaujua[emoji1487][emoji1487][emoji23][emoji23][emoji41]
Uduguu mbona ulanzi nagema mwenyewee, Mbeta natengeneza vyedii kabisaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂 Mi kuna mmama aliniletea moja kali ila toka niote usiku mtu anaichezea kiunoni na nimelala peke yangu SIVAI
hili grup naomba ni left 😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mi kuna mmama aliniletea moja kali ila toka niote usiku mtu anaichezea kiunoni na nimelala peke yangu SIVAI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Back
Top Bottom