Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,260
- 87,002
๐๐๐๐ uzi mtamu huuUmeshindikana huu uzi nadhani mpaka muanzisha uzi anajutaa๐๐
๐๐๐๐ uzi mtamu huuUmeshindikana huu uzi nadhani mpaka muanzisha uzi anajutaa๐๐
kuna kupasua madirisha saivi na watoto wakatokea dirishani,,ushameza p2 lori zima afu ujikute binti, mxiuuu
unaingiza vitu za black and tall afu kusemaje mxiuuu
![]()





Si unaona tupo watatu kwenye huu uzi ukitaka kuona maajabu tuma picha ๐๐๐๐๐๐๐ uzi mtamu huu
Uduguu utajipenda jaribu uone.!! Nilivyomaliza nikalipiga picha nikamtumia beibeeyyy aone mali yake![]()




chiziii wee, sahivi niko makini ktk kutunza tamu ya ba tamu, sitaki makolezo ya kiwakiiii.Analazimisha tufanane kinguvu
Wenzie bila bra tunaswampa sio shida zetu





Mwambie huyo jamaa anayerusha mikono juu aache ujinga, amkumbatie manzi huyo ๐๐๐
Ulanzi uduguu hujamiss![]()



leo nimemuonesha ba tamu nikiwa napiga ulanzi ukiwa kwenye Robo, anajibu "unakunywa matapu tapu?"Yanakosaje kwa mfano? Mpk komoni, halafu kuna bar kila jpili wana mbege. Basi nikitoka church napitiaga kula mbuzi choma, nakuta watu wameshika vile vilita. Kesho naagiza nikitoka church![]()



komoni na myakayaaa, uduguu umenikumbusha mbaliii sanaaa.ulanzi unaujua๐๐พ๐๐พ๐๐๐leo nimemuonesha ba tamu nikiwa napiga ulanzi ukiwa kwenye Robo, anajibu "unakunywa matapu tapu?"
Hivi hajui ulanzi utamu wake, wee
๐๐๐ Mi kuna mmama aliniletea moja kali ila toka niote usiku mtu anaichezea kiunoni na nimelala peke yangu SIVAIHaki ya Mungu niliiga ili nisionekane mshamba nimeshindwa
Togwa, chimpumu, ulanzi,, uuuuweeeehNjombe sihamiiii



wanzuki na sawani Songea mokooo.Uongo
Niliona mtoto wa sister anavyomnyonya mama yake nikawa namuita si akageuka nalo km mnati![]()





Amani amani nawaita watu waje hapa waselfike ๐๐๐Ban
Ban
Ban
Ban
Mimi naogopa kufa huku nna kipilipili mana nawaza waoshaji watanichukuliaje??![]()



uduguu nenda kalalee, ushalewa wee.kusahau nayeye ni mwanamke,,tena baada ya two years atakua tayari limama tena na mwili wa kikinga huo atajaa kama pipa![]()





๐๐๐๐ Ww mzoefu bana, tena unajua kuyatumia vzrunavaa mavitu yanakupapasa kiunoni kila unakoenda mxiuuu ๐๐๐dadeq mi sivai yaani kiuno kina perform chenyeeeeewe,,,nshalewa usingiz apa๐๐พโโ๏ธ
Jamaniii uzi lazima uwe na changamoto
Uzi uchachuke huu ngumi zipigwe
Watu wasutane![]()




khaaaah๐๐Amani amani nawaita watu waje hapa waselfike ๐๐๐
Hapoo sasaBan lazima zitembee kwenye huu uzi yaani week mzima kimya bila ban![]()



