Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uduguu utajipenda jaribu uone.!! Nilivyomaliza nikalipiga picha nikamtumia beibeeyyy aone mali yake
chiziii wee, sahivi niko makini ktk kutunza tamu ya ba tamu, sitaki makolezo ya kiwakiiii.

Ukute had mishipa ya uti wa mgongo ina stuck, wee kuwezaa?
 
Yanakosaje kwa mfano? Mpk komoni, halafu kuna bar kila jpili wana mbege. Basi nikitoka church napitiaga kula mbuzi choma, nakuta watu wameshika vile vilita. Kesho naagiza nikitoka church
komoni na myakayaaa, uduguu umenikumbusha mbaliii sanaaa.
 
leo nimemuonesha ba tamu nikiwa napiga ulanzi ukiwa kwenye Robo, anajibu "unakunywa matapu tapu?"

Hivi hajui ulanzi utamu wake, wee
ulanzi unaujua๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Ž
 
unavaa mavitu yanakupapasa kiunoni kila unakoenda mxiuuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚dadeq mi sivai yaani kiuno kina perform chenyeeeeewe,,,nshalewa usingiz apa๐Ÿƒ๐Ÿพโ€โ™€๏ธ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ww mzoefu bana, tena unajua kuyatumia vzr
 
Back
Top Bottom