Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uduguu podido liliuma sina hamu ikabidi nijizime data nivute kwa nguvu
Baada ya hapo nililala km masaa 5 ila lilinoga uongo dhambi
Ila maumivu yake unaweza kutoka nje kichele
jingaa wee!! Khaaaaah
 
Hata kitoto sina naanzaje kuupenda umama?? Nyie wenye watoto mimama mliopitisha vichwa vya watu mkae kwa kutulia 😂😂😂😂
kuna kupasua madirisha saivi na watoto wakatokea dirishani😂😂😂😂,,ushameza p2 lori zima afu ujikute binti, mxiuuu 😂😂unaingiza vitu za black and tall afu kusemaje mxiuuu 😂😂🙌🏾
 
kuna kupasua madirisha saivi na watoto wakatokea dirishani😂😂😂😂,,ushameza p2 lori zima afu ujikute binti, mxiuuu 😂😂unaingiza vitu za black and tall afu kusemaje mxiuuu 😂😂🙌🏾
Kidali poh iko wifi 😂😂😂
 
kuna kupasua madirisha saivi na watoto wakatokea dirishani😂😂😂😂,,ushameza p2 lori zima afu ujikute binti, mxiuuu 😂😂unaingiza vitu za black and tall afu kusemaje mxiuuu 😂😂🙌🏾
Ms r wewe
 
vipi uko mataptap yapo😂😂
Yanakosaje kwa mfano? Mpk komoni, halafu kuna bar kila jpili wana mbege. Basi nikitoka church napitiaga kula mbuzi choma, nakuta watu wameshika vile vilita. Kesho naagiza nikitoka church 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom