Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,547
- 22,982
aloooh umenkumbusha aseee ngoj nimtafte hakika nilimsahau ,,mi hupenda kwenda na wakatiMr poo brain hajambo?
aloooh umenkumbusha aseee ngoj nimtafte hakika nilimsahau ,,mi hupenda kwenda na wakatiMr poo brain hajambo?
Hata kitoto sina naanzaje kuupenda umama?? Nyie wenye watoto mimama mliopitisha vichwa vya watu mkae kwa kutulia 😂😂😂😂unapenda utoto jimama weye😂😂😂
Uduguu podido liliuma sina hamu ikabidi nijizime data nivute kwa nguvu
Baada ya hapo nililala km masaa 5 ila lilinoga uongo dhambi
Ila maumivu yake unaweza kutoka nje kichele




jingaa wee!! Khaaaaah😂😂😂😂 Si urudiHuku kwa wathugu Black ni Black tu haijalishi
Hata kitoto sina naanzaje kuupenda umama?? Nyie wenye watoto mimama mliopitisha vichwa vya watu mkae kwa kutulia![]()





Wakinga na pombe umesahau?? 😂😂😂kumbe kalevi😂😂😂
kuna kupasua madirisha saivi na watoto wakatokea dirishani😂😂😂😂,,ushameza p2 lori zima afu ujikute binti, mxiuuu 😂😂unaingiza vitu za black and tall afu kusemaje mxiuuu 😂😂🙌🏾Hata kitoto sina naanzaje kuupenda umama?? Nyie wenye watoto mimama mliopitisha vichwa vya watu mkae kwa kutulia 😂😂😂😂
Uduguu utajipenda jaribu uone.!! Nilivyomaliza nikalipiga picha nikamtumia beibeeyyy aone mali yake 😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️jingaa wee!! Khaaaaah
vipi uko mataptap yapo😂😂Wakinga na pombe umesahau?? 😂😂😂
Analazimisha tufanane kinguvu 😂😂😂
Ulanzi uduguu hujamiss 😂😂😂
Kidali poh iko wifi 😂😂😂kuna kupasua madirisha saivi na watoto wakatokea dirishani😂😂😂😂,,ushameza p2 lori zima afu ujikute binti, mxiuuu 😂😂unaingiza vitu za black and tall afu kusemaje mxiuuu 😂😂🙌🏾
😂😂wapi nmesema tufanane,, alokwambia navaa braa nani ,,ata najali sasaAnalazimisha tufanane kinguvu 😂😂😂
Wenzie bila bra tunaswampa sio shida zetu
Nitarudi kama wana siasa😂😂😂😂 Si urudi
si umenianza wewe😂😂twende kazi,,mi najali sasa 😂😂Kidali poh iko wifi 😂😂😂
Ms r wewekuna kupasua madirisha saivi na watoto wakatokea dirishani😂😂😂😂,,ushameza p2 lori zima afu ujikute binti, mxiuuu 😂😂unaingiza vitu za black and tall afu kusemaje mxiuuu 😂😂🙌🏾
Naam mkuuMs r wewe
Yanakosaje kwa mfano? Mpk komoni, halafu kuna bar kila jpili wana mbege. Basi nikitoka church napitiaga kula mbuzi choma, nakuta watu wameshika vile vilita. Kesho naagiza nikitoka church 😂😂😂😂vipi uko mataptap yapo😂😂