Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yanakosaje kwa mfano? Mpk komoni, halafu kuna bar kila jpili wana mbege. Basi nikitoka church napitiaga kula mbuzi choma, nakuta watu wameshika vile vilita. Kesho naagiza nikitoka church πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Togwa, chimpumu, ulanzi,, uuuuweeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Njombe sihamiiii
 
umekariri ya hao wanaovutwa na black and tall πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚mm kitu piruu shwaaaa pole bwan
Uongo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Niliona mtoto wa sister anavyomnyonya mama yake nikawa namuita si akageuka nalo km mnati πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uongo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Niliona mtoto wa sister anavyomnyonya mama yake nikawa namuita si akageuka nalo km mnati πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
sijawahi ruhusu mwanangu anivute namna hio aseeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nilikwambia narud kulichangamshaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kuzaa sio kuzeeka we mbweha
 
kusahau nayeye ni mwanamke,,tena baada ya two years atakua tayari limama tena na mwili wa kikinga huo atajaa kama pipaπŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€ΈπŸΏβ€β™€οΈπŸ€ΈπŸΏβ€β™€οΈπŸ€ΈπŸΏβ€β™€οΈ
 
watu wanaendanacho labor dogo anatoka kama komando nyikani na hawazi wala nini πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hao majasiri!! Siku hao watoto watazivuta mkome kwenda nazo, si zikikamata shanga tyuu tunaimba Aleluya
 
Jamaniii uzi lazima uwe na changamoto πŸ€ΈπŸΏβ€β™€οΈπŸ€ΈπŸΏβ€β™€οΈ
Uzi uchachuke huu ngumi zipigwe πŸ‹πŸ»πŸ‹πŸ»πŸ‹πŸ»
Watu wasutane πŸ’πŸ’
 
PSX_20240615_235526.jpg
 
Back
Top Bottom