Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,271
- 87,063
๐๐๐๐Wee mwehu ujue!!![]()
๐๐๐๐Wee mwehu ujue!!![]()
Dr lizzyBene, tu?
Kwa hyo tuseme unapendaje๐ค๐๐๐๐ Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbona
๐๐๐ Mimi sasa na shobo zangu nikaingia mjini you tube nikajibebea maelezo yangu nikatengeneza kitu. Nikaipua nikajisafisha na cleanser, nikapaka baby powder, nikaipaka ikaniunguza kidogo ila sikujali, nikachukua kitambaa nikagandamiza..!! Nivute sasa kitambaa kitoke uwiiii.!! Mbona Apostle kuna muujiza huku! Nini kimetokea?? Nilikuwa natetemeka huku nalia wifi ๐๐๐๐Dadeqiiiiiiiiiii umenkumbusha ๐๐๐kwa bibu sjawah ila skumoja nkasema nijaribu kwenye kwapa uuuuweeeeh mbona sikumalizia na sikurudia tena๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐๐๐
๐๐๐๐ Mishangazi nangaiseems like ni kazee kalikogoma kukua akili kama mimi๐๐๐
Mimi sasa na shobo zangu nikaingia mjini you tube nikajibebea maelezo yangu nikatengeneza kitu. Nikaipua nikajisafisha na cleanser, nikataka baby powder, nikaipaka ikaniunguza kidogo ila sikujali, nikachukua kitambaa nikagandamiza..!! Nivute sasa kitambaa kitoke uwiiii.!! Mbona Apostle kuna muujiza huku! Nini kimetokea?? Nilikuwa natetemeka huku nalia wifi
![]()




ndo ukomeee.Awe kati, asiwe mweupe sana wala mweusi sana.!! Awe km Fally IpupaKwa hyo tuseme unapendaje๐ค
weeeeee jaman hadi huruma pole wifi mweeee๐๐๐ila watu mnajua ku risk ,,vip utarudia tena๐๐๐ Mimi sasa na shobo zangu nikaingia mjini you tube nikajibebea maelezo yangu nikatengeneza kitu. Nikaipua nikajisafisha na cleanser, nikataka baby powder, nikaipaka ikaniunguza kidogo ila sikujali, nikachukua kitambaa nikagandamiza..!! Nivute sasa kitambaa kitoke uwiiii.!! Mbona Apostle kuna muujiza huku! Nini kimetokea?? Nilikuwa natetemeka huku nalia wifi ๐๐๐๐
mi ni aunt sjui wew mnene ๐๐ mshangaz๐๐๐๐ Mishangazi nangai
Hahahahaha ila pia weupe wamezaliwa tu hawajapenda wawe hvyoAwe kati, asiwe mweupe sana wala mweusi sana.!! Awe km Fally Ipupa
Uduguu podido liliuma sina hamu ikabidi nijizime data nivute kwa nguvu ๐น๐น๐นndo ukomeee.
Ms rweeeeee jaman hadi huruma pole wifi mweeee๐๐๐ila watu mnajua ku risk ,,vip utarudia tena
Kwa kulivyonoga narudia ila ntakunywa nilewe ili nisisikie maumivu ๐๐๐weeeeee jaman hadi huruma pole wifi mweeee๐๐๐ila watu mnajua ku risk ,,vip utarudia tena
๐๐๐๐๐ basi mi dadami ni aunt sjui wew mnene ๐๐ mshangaz
Wajikite kwenye kutafuta pesa, rangi ya pesa na pesa wawe nazo. ๐Hahahahaha ila pia weupe wamezaliwa tu hawajapenda wawe hvyo
NaamMs r
unapenda utoto jimama weye๐๐๐๐๐๐๐๐ basi mi dada
Huku kwa wathugu Black ni Black tu haijalishiWajikite kwenye kutafuta pesa, rangi ya pesa na pesa wawe nazo. ๐
kumbe kalevi๐๐๐Kwa kulivyonoga narudia ila ntakunywa nilewe ili nisisikie maumivu ๐๐๐
Mr poo brain hajambo?Naam