Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,268
- 87,051
Ni mtiti nakwambia πππuduguu una nn weyeee!! Aaaah
Mkigombana kwa kuruka vichwa sasa!!
Ni mtiti nakwambia πππuduguu una nn weyeee!! Aaaah
haijalishi ni mweusi au mweupe ππmaji ya maharage sjui kundeHalafu weusiiii mbona umesahau?? πππ
Tatizo ilani ya chama lazima izingatiwe πππkwani natumia utamu wako we binti vip bwan πππ
Ushaanza!!! Cna mood ya kuchachua mtu leo.
Mweusi tiiii km usiku wa balaa, hiyo maji kunde hakuna πππhaijalishi ni mweusi au mweupe ππmaji ya maharage sjui kunde
Mjumbe hauwawi mahi πππUshaanza!!! Cna mood ya kuchachua mtu leo.
ππππukizingatia wewe unaniwakilisha,,mi nafata vya kung'aa kitu nyeusiiii adi kutishanaTatizo ilani ya chama lazima izingatiwe πππ
mweusi kama kwapa langu lililokosa kupakwa limao likinyolewaππMweusi tiiii km usiku wa balaa, hiyo maji kunde hakuna πππ
ππππ Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbonaππππukizingatia wewe unaniwakilisha,,mi nafata vya kung'aa kitu nyeusiiii adi kutishana
Mi napenda battle lenu bana πππ
Attention ππππwifi hau olidi a yu?ππππ Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbona
Wee mwehu ujue!!Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbona




Achana na limao, ushawahi kufanya waxing ya kienyeji kwa bibi?? Maumivu yake utajikojolea πππmweusi kama kwapa langu lililokosa kupakwa limao likinyolewaππ
Umekuwa RITA uanze kuhoji age yangu?? πππAttention ππππwifi hau olidi a yu?
Dadeqiiiiiiiiiii umenkumbusha πππkwa bibi sjawah ila skumoja nkasema nijaribu kwenye kwapa uuuuweeeeh mbona sikumalizia na sikurudia tenaππΎππΎππΎππππAchana na limao, ushawahi kufanya waxing ya kienyeji kwa bibi?? Maumivu yake utajikojolea πππ
Kweli mi shabiki yenu kindakindaki km nilivyo shabiki yake Nikki wa pili πππuduguu trokaaaa hapaaa.
seems like ni kazee kalikogoma kukua akili kama mimiπππUmekuwa RITA uanze kuhoji age yangu?? πππ