Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,551
- 95,141
Halafu weusiiii mbona umesahau?? 😂😂😂izi tabia za watu wafupi afu wanene bila shaka upo ivo🤣🤣🤣
Halafu weusiiii mbona umesahau?? 😂😂😂izi tabia za watu wafupi afu wanene bila shaka upo ivo🤣🤣🤣
Ni mtiti nakwambia 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu una nn weyeee!! Aaaah
haijalishi ni mweusi au mweupe 😂😂maji ya maharage sjui kundeHalafu weusiiii mbona umesahau?? 😂😂😂
Tatizo ilani ya chama lazima izingatiwe 😂😂😂kwani natumia utamu wako we binti vip bwan 😂😂😂
Ushaanza!!! Cna mood ya kuchachua mtu leo.Chango limeacha uduguu [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu 100 others alikuwa anakuulizia
Mweusi tiiii km usiku wa balaa, hiyo maji kunde hakuna 😂😂😂haijalishi ni mweusi au mweupe 😂😂maji ya maharage sjui kunde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mtiti nakwambia [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkigombana kwa kuruka vichwa sasa!!
Mjumbe hauwawi mahi 😂😂😂Ushaanza!!! Cna mood ya kuchachua mtu leo.
😂😂😂😂ukizingatia wewe unaniwakilisha,,mi nafata vya kung'aa kitu nyeusiiii adi kutishanaTatizo ilani ya chama lazima izingatiwe 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjumbe hauwawi mahi [emoji23][emoji23][emoji23]
mweusi kama kwapa langu lililokosa kupakwa limao likinyolewa😂😂Mweusi tiiii km usiku wa balaa, hiyo maji kunde hakuna 😂😂😂
😂😂😂😂 Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbona😂😂😂😂ukizingatia wewe unaniwakilisha,,mi nafata vya kung'aa kitu nyeusiiii adi kutishana
Mi napenda battle lenu bana 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Attention 😂😂😂😂wifi hau olidi a yu?😂😂😂😂 Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu trokaaaa hapaaa.Mi napenda battle lenu bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mwehu ujue!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbona
Achana na limao, ushawahi kufanya waxing ya kienyeji kwa bibi?? Maumivu yake utajikojolea 😂😂😂mweusi kama kwapa langu lililokosa kupakwa limao likinyolewa😂😂
Umekuwa RITA uanze kuhoji age yangu?? 😂😂😂Attention 😂😂😂😂wifi hau olidi a yu?
Dadeqiiiiiiiiiii umenkumbusha 😂😂😂kwa bibi sjawah ila skumoja nkasema nijaribu kwenye kwapa uuuuweeeeh mbona sikumalizia na sikurudia tena🙌🏾🙌🏾🙌🏾😂😂😂😂Achana na limao, ushawahi kufanya waxing ya kienyeji kwa bibi?? Maumivu yake utajikojolea 😂😂😂
Kweli mi shabiki yenu kindakindaki km nilivyo shabiki yake Nikki wa pili 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu trokaaaa hapaaa.