Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
😀 😀 😀
😀 😀 😀
Doooh!
Man man pole sana...
Hivi si kama last two/three weeks uliandika jamaa walitembelea jirani yenu hapo uzuri ulikuwa macho...Sasa hao washenzi inaonekana hawakuridhika
this's one of the reasons why i hate residing in TZ, unaishi ukiwa na wasiwasi karibu kwa kila wakati...
😀😀😀yaani awaroge tu kwakweli
Hii ni nzuriii nimeipendaNa kuwafanyia mambo mabaya kabisa.. Wanashikwa na haja wakifika chooni hakuna kitu wakitoka nje tu haja inabana wanajisikia kunya wakirudi ndani hakuna kitu... Siku nzima huo ndio utakuwa mchezo
😋😋😋😋😋😛😛
Kama hadi wewe wanakuibia basi acha tu tuibiwe.Ndio na pengine walikuwa wanasubiri nimalize kula cha usiku nipumzike
Mdudu?
Shee una vitisho.Yeah ndio hao hao safari hii wamenipata ila moto utakaowawakia wa jehanum cha mtoto
Sasa ndio kwetu tutafanyaje!!!Doooh!
Man man pole sana...
Hivi si kama last two/three weeks uliandika jamaa walitembelea jirani yenu hapo uzuri ulikuwa macho...Sasa hao washenzi inaonekana hawakuridhika
this's one of the reasons why i hate residing in TZ, unaishi ukiwa na wasiwasi karibu kwa kila wakati...
😂😂😂😂😂😂kala moja amelia kilio cha hajaHapana.. Ni kama huyu mkorofi hapa
View attachment 1281656
Watu na shape zenu
Nimependa vitobo toboView attachment 1281323
Hyo sio yangu bwanaWatu na shape zenu