Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Halafu siku nyingi ujue haujatubariki humu. Hebu fanya kamchakato jamani.







Halafu siku nyingi ujue haujatubariki humu. Hebu fanya kamchakato jamani.







Nasubiri ujue?
Nilikuwaga nawaonea huruma wezi wanaochomwa moto ila tangu mekutwa na mimi sina huruma nao walah!!Pole Sana..huyo mdada alilia na alitakiwa asafiri siku mbili mbele mama ake alikua mgonjwa nilimuonea huruma Sana..wezi hawa si wakuonewa huruma
Ya nnPicha tasazali..
Hahahaaa kazi ya Rufufu hiyo..Lol wabongo nawaaminia. Mpaka napata akili nilikua najua huyu jamaa anaitwa Massawe.
View attachment 1281285
Angalia muvi ya will smith inetoka September inaitwa Gemin Man...Nasikia walimfanyia hivyo ili asisaliti chama na waliofanya hivyo ni kina Dr. Dre,, kuhusu hao kina J. F. Kennedy na Tupac Shakur hao hawakuweza kufanyiwa cloning sababu vifo vyao vilikuwa so public maana cloning wanafanyiwa watu ambao ndiyo wanakaribia kufa siyo wale ambao wameshakufa na vifo vyao vimeshatangazwa kabisa hapana..
Siyo Em tu ni wasanii wengi wamekuwa cloned tukianza na Dr. Dre mwenyewe, Beyonce, Justin Bieber, Miley Cyrus, et al na hata Michael Jackson naye nasikia ilibaki kidogo wamclone,, inasemekana JB na MC pia ni one of those lizard people japo kuna watu wanasema ni rumours ila kuna ushahidi wa kutosha umewekwa humu mitandaoni..
Eminem anafanana na Joseph Sikora (Tom) wa Power...Hebu muangalie Wentworth Miller, Clint Eastwood na Eminem... Huoni wanafanana?
Aisee siriz ya power sijaangalia.. ngoja leo niisnze naona wengi mnaisifia..Eminem anafanana na Joseph Sikora (Tom) wa Power...
Hata katika Power kuna line kwenye script imeandikwa kwa utani akiitwa aka Eminem...
![]()
Kweli wamefanana, nilifikiri ni mimi tu naliona hilo.Eminem anafanana na Joseph Sikora (Tom) wa Power...
Hata katika Power kuna line kwenye script imeandikwa kwa utani akiitwa aka Eminem...
![]()
Nasikia walimfanyia hivyo ili asisaliti chama na waliofanya hivyo ni kina Dr. Dre,, kuhusu hao kina J. F. Kennedy na Tupac Shakur hao hawakuweza kufanyiwa cloning sababu vifo vyao vilikuwa so public maana cloning wanafanyiwa watu ambao ndiyo wanakaribia kufa siyo wale ambao wameshakufa na vifo vyao vimeshatangazwa kabisa hapana..
Siyo Em tu ni wasanii wengi wamekuwa cloned tukianza na Dr. Dre mwenyewe, Beyonce, Justin Bieber, Miley Cyrus, et al na hata Michael Jackson naye nasikia ilibaki kidogo wamclone,, inasemekana JB na MC pia ni one of those lizard people japo kuna watu wanasema ni rumours ila kuna ushahidi wa kutosha umewekwa humu mitandaoni..
Mie niliiachia season3Aisee siriz ya power sijaangalia.. ngoja leo niisnze naona wengi mnaisifia..
Eminem anafanana na Joseph Sikora (Tom) wa Power...
Hata katika Power kuna line kwenye script imeandikwa kwa utani akiitwa aka Eminem...
![]()
Mie niliiachia season3
Nitakuwa mtu kabla wiki haijesha.. Wana wamekata dirisha na kutembea na smart 47incView attachment 1281319View attachment 1281320
Yeah.Ni nzuri sana..?
Nitashukuru kweli Jr jamani 😘 😘 😘 😘 😘Poa subiri utanipa details
Si unawawekea busha tu wezi wakoNitakuwa mtu kabla wiki haijesha.. Wana wamekata dirisha na kutembea na smart 47incView attachment 1281319View attachment 1281320