Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nasikia walimfanyia hivyo ili asisaliti chama na waliofanya hivyo ni kina Dr. Dre,, kuhusu hao kina J. F. Kennedy na Tupac Shakur hao hawakuweza kufanyiwa cloning sababu vifo vyao vilikuwa so public maana cloning wanafanyiwa watu ambao ndiyo wanakaribia kufa siyo wale ambao wameshakufa na vifo vyao vimeshatangazwa kabisa hapana..

Siyo Em tu ni wasanii wengi wamekuwa cloned tukianza na Dr. Dre mwenyewe, Beyonce, Justin Bieber, Miley Cyrus, et al na hata Michael Jackson naye nasikia ilibaki kidogo wamclone,, inasemekana JB na MC pia ni one of those lizard people japo kuna watu wanasema ni rumours ila kuna ushahidi wa kutosha umewekwa humu mitandaoni..
Angalia muvi ya will smith inetoka September inaitwa Gemin Man...
(Gemin ni nyots ya mapacha kwenye unajimu)
Humo utaona jubsi clone ya Will Smith inavyomuwinda Will Smith original kumuua
 
Hebu muangalie Wentworth Miller, Clint Eastwood na Eminem... Huoni wanafanana?
Eminem anafanana na Joseph Sikora (Tom) wa Power...

Hata katika Power kuna line kwenye script imeandikwa kwa utani akiitwa aka Eminem...

CLlpciiWIAAF36s
 
Hahah...kupata kichekesho hiki bonyeza *150*01*0# kitakuwa cha kwako
Nasikia walimfanyia hivyo ili asisaliti chama na waliofanya hivyo ni kina Dr. Dre,, kuhusu hao kina J. F. Kennedy na Tupac Shakur hao hawakuweza kufanyiwa cloning sababu vifo vyao vilikuwa so public maana cloning wanafanyiwa watu ambao ndiyo wanakaribia kufa siyo wale ambao wameshakufa na vifo vyao vimeshatangazwa kabisa hapana..

Siyo Em tu ni wasanii wengi wamekuwa cloned tukianza na Dr. Dre mwenyewe, Beyonce, Justin Bieber, Miley Cyrus, et al na hata Michael Jackson naye nasikia ilibaki kidogo wamclone,, inasemekana JB na MC pia ni one of those lizard people japo kuna watu wanasema ni rumours ila kuna ushahidi wa kutosha umewekwa humu mitandaoni..
 
Kweli duniani wawili watatua
No. 1 Eminem
2. Joseph
3. Wentworth Miller "Michael scolfied"
Hafu wote videvu vyao vimegawanyika..
Miller na emminen hata sio waongeaji kabisa na wote wamepitia Child abuse.

FB_IMG_15754563037430689.jpeg
FB_IMG_15754561588006185.jpeg
FB_IMG_15754563607927507.jpeg
 
Doooh!
Man man pole sana...

Hivi si kama last two/three weeks uliandika jamaa walitembelea jirani yenu hapo uzuri ulikuwa macho...Sasa hao washenzi inaonekana hawakuridhika

this's one of the reasons why i hate residing in TZ, unaishi ukiwa na wasiwasi karibu kwa kila wakati...

Nitakuwa mtu kabla wiki haijesha.. Wana wamekata dirisha na kutembea na smart 47incView attachment 1281319View attachment 1281320
 
Back
Top Bottom