Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nilinyanyuliwa mimba ikaingia nkasahau kumeza p2 nikazaaπŸ™„πŸ™„apo vip mpenda udakuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo kwenye kunyanyuliwa hujaelezea vzr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nataka useme aina ya mnyanyuo wifi
 
Hapo kwenye kunyanyuliwa hujaelezea vzr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nataka useme aina ya mnyanyuo wifi
mende death,,sea io siku niliskia utaaaamuuuu nilikunja vidole kiduchu vipate ulemavu kumbe kajamaa kanatikiπŸ˜‚πŸ˜‚
 
mende death,,sea io siku niliskia utaaaamuuuu nilikunja vidole kiduchu vipate ulemavu kumbe kajamaa kanatikiπŸ˜‚πŸ˜‚
Weeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wifi umetishaaaa ukaachia goli liingie
 
Weeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wifi umetishaaaa ukaachia goli liingie
waaaaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nikalala kuja kuamka masaa 72 yamepita basi,,saivi mimi ni mama fulani
 
Nakuazima yangu ya base πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
sauti la kikinga wacha ikaeπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umenusurika kufa? 😁😁Si ulisema Hela yake nakula na siendi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sio hivyo bana, nilikuwa naumwa.
Mimi nauli nakula kweli na mtu cha kunifanya hana!! Dada ako si unajua nilivyo jeuri siogopi mtu
 
waaaaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nikalala kuja kuamka masaa 72 yamepita basi,,saivi mimi ni mama fulani
Ilitakiwa uwe na p2 pembeni kabla ya game.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwenzio shem wako alikuwa anafosi nimzalie siku hiyo nikashangaa eti yy ndo ameninunulia p2, akili ikagoma kabisa kukubali. Nikatafuta upenyo nikanywa p2 ya kwangu.!!
Sasa baada ya mwezi ananiuliza hujisikii kula embe mbichi au usingizi hivi?? Nikamjibu, nasikia hamu ya chips kuku. Acha aniporomoshee mitusi, kumbe ile siku liliniwekea piriton πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nisingetumia akili ya ziada ningempa mtoto kizembe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom